Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 8,964
- 13,466
Polepole mnafiki sana. Katika watu 5 waliokuwa na nguvu kwenye awamu ya Magufuli naye alikuwapo. Ile ndiyo awamu iliyoanzisha kuiba uchaguzi wote, kuteka na kuua wakosoaji, na uchafu mwingine wote. Eti leo hii anaongelea maadili kwenye kuengua wagombea. Pumbavu sanaMungu akikujalia ukipata fursa ya upigaji wee piga tu. Hii nchi Kila mtu ni mwizi Katika nafasi Yake.
Ila usidhulumu nafsi. Pia usiwe mchoyo washirikishe pia wengine kwenye upigaji.
Polepole alikula Sana million 200 za wajumbe alipokuwa katibu Mwenezi eti atawasaidia kuwapitisha majina yao. Leo eti anahubiri uadilifu.
Piga tu ukipata fursa.
NO MERCY!