Ukipata fursa wee piga tu

Ukipata fursa wee piga tu

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,308
Reaction score
4,209
Mungu akikujalia ukipata fursa ya upigaji wee piga tu. Hii nchi Kila mtu ni mwizi Katika nafasi Yake.

Ila usidhulumu nafsi. Pia usiwe mchoyo washirikishe pia wengine kwenye upigaji.

Polepole alikula Sana million 200 za wajumbe alipokuwa katibu Mwenezi eti atawasaidia kuwapitisha majina yao. Leo eti anahubiri uadilifu.

Piga tu ukipata fursa.

NO MERCY!
 
Unasemaje??
20250713_194913.jpg
 
Hii slogan nimeipenda kwakweli, ni kupiga tu.
Piga ila hakikisha usishikwe na usiache alama yoyote inayokurudia, kuna muhuni huku kapiga Safuria ngumu ya kupimia mafuta kaenda kuuza na kaonwa sasa hivi kahama mpaka Mtaa alikoiba hakanyagi tena na haonekani maana kaambiwa kule ulipoiba wamekuona rudisha Safuria yao kurudisha hawezi sababu ameshaiuza masikini ya Mungu kajiharibia tu sifa sasa hivi anaitwa Mwizi
 
Hebu mtazame huyo mzee kuanzia juu mpaka chini...
Kwa kweli inasikitisha sana...
Hivi kweli huyu Nape kashindwa hata kumuweka vizuri mzee wa watu kabla ya kupiga nae picha na kuisambaza?....
Wananchi wana hali mbaya sana aisee!
Hao unaosema wana hali mbali huwa wana tiki vibaya sana kiukweli watajua wenyewe.
 
Hebu mtazame huyo mzee kuanzia juu mpaka chini...
Kwa kweli inasikitisha sana...
Hivi kweli huyu Nape kashindwa hata kumuweka vizuri mzee wa watu kabla ya kupiga nae picha na kuisambaza?....
Wananchi wana hali mbaya sana aisee!
Uhalisia hio sio fake ila inaumiza kidizaini hii kitaalamu inaitwa Ubunge-psychosis
 
Back
Top Bottom