Hapa ndipo ulipo msingi wa Ugaidi.
Kwa kweli inashangaza sana!
Usitudanganye wewe. Mimi nimepita JKT. Huyo mtoto wa miaka 29 au 30 alikwenda JKT lini? JKT ilishafutwa kipindi hicho. Aliirudisha tu JPM enzi zake. Huyo ni Gaidi, huo ndio ukweli. Nimetumia sana SMG na AK47 nikiwa Mafinga Mkuu. Enzi zile za kujibu wa sheria.Unaonekana hukupita jkt, kwako SMG inaonekana ni silaha nzito. Kule kuna mafunzo ya kutumia mpaka LMG. Aliojifunza huko inaoneka unahisi tu, na hata jeshi la polisi halitaki kupata taarifa kutoka huko. Wako bussy kubumba wanayoona yana manufaa kwao.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hakuna cha climax panic, yule alikuwa ni expert wa kutumia hizo silaha.nothing you know about climax panic
Sawa, ni hasira, lakini hasira haziwezi kukufanya ujue kutumia silaha ambayo haujui kutumia. Yule ni mtu aliekuwa amefundishwa kutumia hizo silaha. Kutumia pistol ni sawa, lakini kwa SMG, hiyo haifundishwi kwa watu wa kawaida.Chifu,ukifika kwenye point of no return, huwezi ogopa chochote,liwalo na liwe, ogopa Sana hasira.
Akili itakavyokutuma baada ya kuonewa ndo sahihiNiki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDERNa tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Sijakuwekea uzi wewe ili uupime uzito. Kaandae wewe wa kwako wenye uzito.UZI hauna uzito, labda ungeuweka hivi." Ni nini Hamza kaonewa mpaka kubeba bunduki"?