So inabidi tuongeze ofa?Ukiona umekataliwa na mwanamke/mwanaume usihuzunike wala kukata tamaa, Maana hujakataliwa wewe (as a person) bali imekataliwa ofa yako uliyo toa.......,
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Kumbe tunafanya biasharaUkiona umekataliwa na mwanamke/mwanaume usihuzunike wala kukata tamaa, Maana hujakataliwa wewe (as a person) bali imekataliwa ofa yako uliyo toa.......,
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
anaweza akawa anakupenda lakini ameshawishiwa tuHakupendi tu
Hapanaanaweza akawa anakupenda lakini ameshawishiwa tu
Hapana sio pesa.....?So inabidi tuongeze ofa?
Ofa ya nini? Pesa?
Sasa sisi wafupi tunakataliwa balaa, kuna ofa ya urefu???
Sio kweli.....?Hakupendi tu
Ila mwisho wake atachezewa tu kama ni mwanaume muda amepoteza na hela nakuamini anapendwa kumbe ni anachotowa, mwanamke nikupigwa mashine hadi basi kupewa mitoto ya watu unahangaika nayo, unazeeka Kisa wao , na muda piaSio kweli.....?
Unadhani kwanini huyo mtu akiendelea ku introduce ombi lake mwisho wa siku anakubaliwa.....
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Kuhusu kutoa pesa kwa mwanamke wakati unamtongoza ni upumbavuIla mwisho wake atachezewa tu kama ni mwanaume muda amepoteza na hela nakuamini anapendwa kumbe ni anachotowa, mwanamke nikupigwa mashine hadi basi kupewa mitoto ya watu unahangaika nayo, unazeeka Kisa wao , na muda pia
Ila mie napendaga ningekuwa me ningekula hizi pisi Tena wangenihonga acha tu sijui mnakwama wapi??Kuhusu kutoa pesa kwa mwanamke wakati unamtongoza ni upumbavu
Mimi sijagusa sehemu inayoitwa pesa
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
DaaahIla mie napendaga ningekuwa me ningekula hizi pisi Tena wangenihonga acha tu sijui mnakwama wapi??
Kwa Mpalange.