Yaani utapararaizi vibaya aloooh....Hawajui wana wake, tena ukiwa na mind hizo utaumia hadi utoe uhai wako, kama ukikuta mwanamke ana tabia hizo za kutoka nje hata ukikesha upiga mashine hadi asubuhi bado atatoka nje, hiyo ni nature, ndio maana comments nyingi humu ni zetu wana ume wana wake wapo humu wanatuangalia tu maana nature yao na yetu ni tofauti, hilo ni kuacha kama lilivyo na timiza majukumu yako kama baba wa familia mengine yaache usipate kichaa, just do for the sake of your family and kids, lakini ukianza kumpekua mkeo basi jua unaelekea kuwa disappointed, and u will run mad.
[emoji23][emoji23]Nilikuwa nawabishia wanaume wenzangu kimoyo moyo na nilikuwa najiuliza wenzangu wanapataje vi4 wakati mimi nikipiga kimoko nachukua muda mrefu Sana kabla sijashusha watoto,na nikishusha watoto utakuta manzi hataki tena na ameshalala huku hata kujiweka vizuri hawezi. Nyie pigeni mabomu yenu mi nagonga Bomu moja la nyukilia nasambaratisha Kila kitu.
Kabisa,sikupingi yaanSure,ndio maana hua nasema mapenzi/sex ni feeling,inategemea na unavyomfeel mpenzi wako,sex ni issue ya kisaikolojia zaidi.
Approaching to the TRUTHKwa uzoefu wangu wa miaka zaidi ya 20 kwenye gemu...
1. Idadi ya magoli unayopiga hayana uhusiano wowote na mwanamke kufika kileleni au kufurahia tendo.
2. Kila mwanamke ni tofauti. Mfano:
- kuna mwanamke yeye anapenda sana romance na anaweza kumaliza haja zake kwa kuchezewa tu bila hata kutiwa.
- kuna mwanamke anapenda mkuyenge, yeye mkifika room hataki mambo mengi ni mkuyenge tuu mwanzo mwisho ndio anafurahi
- kuna mwanamke bila kumuweka style fulani hafiki kileleni hata u-pump usiku kucha
- kuna mwanamke ana siku maalum ktk mzunguko wake ambazo anaenjoy sex. Nje ya siku hizo unakua unatwanga maji kwn kinu sanasana anakupa kukuridhisha tu
- kuna mwanamke bila kumpa hela, zawadi au kumsifia na maneno matamu nk hafiki kileleni hata ufanye nini
- kuna mwanamke ambae mkitiana yeye anaweza unganisha hata 3 kwa mpigo, baada ya hapo ndio imetoka hiyo hana ham tena hata akae mwezi
3. Haijalishi mwanamke ulie nae ni wa aina gani kati ya hizo, wala haijalishi unamkojoza kiasi gani. Kama huyo mwanamke ana malengo ambayo wewe huwezi kuyatimiza, ATAKUACHA! Mfano yeye anataka ndoa we unambwelambwela, atakupiga chini asubuhi kweupe na ATAKUSAHAU mazima!
Inferiority complex inatutesa mkuu.Facts.
Sisi wanaume tunapenda sifa mno, tena wanaume wa kiafrica, tunajisifia tunapiga mashine na kuwasemea wanawake kuwa umemfikisha, acha mwenyewe aseme, hata ukikesha una gegeda vipi bado mwanamke anaweza toka nje ya ndoa tena easily tu maana wao ni wa kudanganya kwa vitu vidogo vidogo wala haina uhusiano na kugegeda masaa 24.
Lazima anabanduliwa hana uwezo wa kudhibiti nyege zake miezi yote hiyoHuko aliko unadhan habanduliwi?
HaaaaaaaàGrinding ni kusaga ,kwahy unasagana wee jamaa
Sasa naona unataka ban nyingine for lifeHahahh.. mim ni mkongwe niliyepigwa ban ya maisha na id yangu ya zaman.. kenge wew
Zero IQkuna wakati unamgonga demu kwa kuvuta hisia za demu mwingine
hii imekaaje wataalamu wa kunyanduana ?
huyu ni mwamba kweli kweli 😃😃
Wanajikita kwenye biashara wanasahau mengineMapenzi hayana formula, hao wanaojiita wataalam ndio wanaoongoza kugongewa
Kuna mwingine nikiwa napiga naye story nikimtomasa tomasa kiuno anapatwa na usingizi wa ghafla, hivi ananipenda kweli au lengo lake kubwa tukatishe maongezi ili awahi kugegedwa na bwana ake? BeesmomNi kweli anakuwa amezidiwa
Kuna uzi wa kuomba ushauri wa biashara x nimeuweka kule jukwaani. Ni wiki sasa, uzi una reply moja. Tena yenyewe ni ya "Ngoja waje", ila ukiongelea mbususu tu, watu wanamiminika kama mvuaKuna uzi unahusu maendeleo ya nchi jamani tukachangie na kule.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msinichekeshe aiseeAya tuone Sasa nan fal