Ukiona umeenda zaidi ya 3

Ukiona umeenda zaidi ya 3

Mwisho wa siku kila mmoja anaongelea mapenzi kwa namna anavoyajua so kila mmoja afanye kwa namna anavyo hisi ni sahihi.

Kwa uzoefu wangu wa miaka zaidi ya 20 kwenye gemu...

1. Idadi ya magoli unayopiga hayana uhusiano wowote na mwanamke kufika kileleni au kufurahia tendo.

2. Kila mwanamke ni tofauti. Mfano:
  • kuna mwanamke yeye anapenda sana romance na anaweza kumaliza haja zake kwa kuchezewa tu bila hata kutiwa.
  • kuna mwanamke anapenda mkuyenge, yeye mkifika room hataki mambo mengi ni mkuyenge tuu mwanzo mwisho ndio anafurahi
  • kuna mwanamke bila kumuweka style fulani hafiki kileleni hata u-pump usiku kucha
  • kuna mwanamke ana siku maalum ktk mzunguko wake ambazo anaenjoy sex. Nje ya siku hizo unakua unatwanga maji kwn kinu sanasana anakupa kukuridhisha tu
  • kuna mwanamke bila kumpa hela, zawadi au kumsifia na maneno matamu nk hafiki kileleni hata ufanye nini
  • kuna mwanamke ambae mkitiana yeye anaweza unganisha hata 3 kwa mpigo, baada ya hapo ndio imetoka hiyo hana ham tena hata akae mwezi

3. Haijalishi mwanamke ulie nae ni wa aina gani kati ya hizo, wala haijalishi unamkojoza kiasi gani. Kama huyo mwanamke ana malengo ambayo wewe huwezi kuyatimiza, ATAKUACHA! Mfano yeye anataka ndoa we unambwelambwela, atakupiga chini asubuhi kweupe na ATAKUSAHAU mazima!
 
Ni hivi, kuna watu utasikia.. ohh.. mim napiga vi4 mara ooh mi cha pili ndo napiga kweli kweli

Ni hivi, Hakikisha katika tendo hilo ule mzunguko wa kwanza ndo kila kitu.. yaan shauku unayokuwa nayo wewe (mtoto wa kiume kwenye round ya kwanza ndo hiyo hiyo binti huwa anakuwa nayo. Sasa hakikisha una perfom katika kiwango cha hali ya juu kumfikisha kileleni binti. Ukichemka hapo na ukategemea eti utapiga cha pili ni kwamba cha pili huwa hakina shauku kivileee na ni failure to cut the ishu short....

Mbwembwe zote fanya round ya kwanza na hakikisha unaenda zaidi ya dk30... Yaani namaanisha ana active penetration...

Foreplay iwe kuanzia dk 18 kwenda mbele.. aisee. Hata kama humpi hela lazima amwagilie bustani maji.

Wengi mnafeli mkiamini kwenda vi3 sijui vi4 ..

Ukiona umeenda vyote hivyo bas jua ni vya jogoo.. yaani umpige binti dk 40 umchakaze vilivyo amwagilie maji bustani kisawa sawa halafu apate hamu ya cha pili cha tatu cha nne... Noooo way.. tusidanganyane bana.

Mwisho vijana wenzangu haya niliongea naomba nayo mkayatizame.
Nilikuwa nawabishia wanaume wenzangu kimoyo moyo na nilikuwa najiuliza wenzangu wanapataje vi4 wakati mimi nikipiga kimoko nachukua muda mrefu Sana kabla sijashusha watoto,na nikishusha watoto utakuta manzi hataki tena na ameshalala huku hata kujiweka vizuri hawezi. Nyie pigeni mabomu yenu mi nagonga Bomu moja la nyukilia nasambaratisha Kila kitu.
 
Asikudanganye MTU....sex desire inaishaga.

Na mwanadada anatafuta kwingine....hujui kwamba Kuna raha ya kutia nyuchi mbalimbali. Basi Ile inaitwa #orgism ikikufikia unahisi unakula mapuchi nyingine
 
Nilikuwa nawabishia wanaume wenzangu kimoyo moyo na nilikuwa najiuliza wenzangu wanapataje vi4 wakati mimi nikipiga kimoko nachukua muda mrefu Sana kabla sijashusha watoto,na nikishusha watoto utakuta manzi hataki tena na ameshalala huku hata kujiweka vizuri hawezi. Nyie pigeni mabomu yenu mi nagonga Bomu moja la nyukilia nasambaratisha Kila kitu.

Kuna watu wa aina mbili:

1. Kifo cha mende = goli la 1, mbuzi kagoma = goli la pili, chuma mboga = goli la 3, mwanamke juu = goli la 4... n.k

2. Halafu kuna sisi ambao hizo style zote tunazitumia kwenye kutafuta goli 1.
 
Kuna watu wa aina mbili:

1. Kifo cha mende = goli la 1, mbuzi kagoma = goli la pili, chuma mboga = goli la 3, mwanamke juu = goli la 4... n.k

2. Halafu kuna sisi ambao hizo style zote tunazitumia kwenye kutafuta goli 1.
Ewaaaa yani Ili goli lije ni lazima iwe tumehangaika sana
 
Aliekwambia nan.. mwanamme anaemtia vzur kisawasawa mwanamke ni ngum sana kugongewa.. amini hilo kaka.. hzo ni stor za vijiwen.. mkaze mwanamke vzur amwagilie maj.. nenda uvinza.. fanya uchafu wote .. ukiachwa labda niwew umetaka au labda njaa ni kal so dem anaona akatafte bwana wa kumpa mia mbili mbili ila amin kwamba hata akienda huko bado atakuwaza wew tu lifikapo suala la tendo. Amin hvyo.. sie wengne halafu dada zenu wanatishia kujiua wakihisi tunataka kuwaacha.. ufundi kaka.. fanya kama nilivyoelezea juu pale halaf utanambia
Unajidanganya , we unafkr akienda kutafta 200 au 300 , wahuni hawatamkaza vzur ? Kinachomfanya mwanamke akae kwenye ndo ni Ile hadhi tuu ya ndoa , jamii + dini , na mambo ambayo ameyapitia na Mme wake hv ni baadhi ya vitu mwanamke mwenye akili huwaza kabla ya kuvunja ndoa , Ila kupigiwa kupo pale pale kama mwanamke ni wa hvyo, mwanamke sio kiumbe wa kumwamini , we fanya mazoezi ya kumkojoza mke wako tangu umemuoa mpak mnazeeka kama utaweza et kisa unamlinda
 
Sio kwel. Unataka nambia hakuna watu wanaopendana dunia hii na hawachiti hovyo
Kutokuchiti ama kuchiti kwa mwanamke ni maamuzi yake.

Wapo wanakazwa vizuuuri tu, na wanachiti, unaweza ukawa unamkaza vizuri, lakini humpi muda wako, akapata mtu anamjali jali tu, basi akiamua anaigawa papuchi vizuri tu.
 
Upendo,ukimpenda MTU hata romance tu unaridhika.....yaan upendo.Nisipokupenda hats ukeshe unasugua sifiki ng'oo
Sure,ndio maana hua nasema mapenzi/sex ni feeling,inategemea na unavyomfeel mpenzi wako,sex ni issue ya kisaikolojia zaidi.
 
Ajabu wanaojisifia kufikisha kileleni ni wanaume na sio wanawake ndo waje watoe shuhuda kua kuna miamba inagegeda vyema.

Wa kiume kujisifia namna hiyo ni ubatili coz wewe sio yeye huwezi jua yeye anahisi nini.
Mlete dem wako atoe shuhuda la sivyo hii ni chai.
Kwani Demi yeye anasemaje kuhusu hii hoja?
 
Unajidanganya , we unafkr akienda kutafta 200 au 300 , wahuni hawatamkaza vzur ? Kinachomfanya mwanamke akae kwenye ndo ni Ile hadhi tuu ya ndoa , jamii + dini , na mambo ambayo ameyapitia na Mme wake hv ni baadhi ya vitu mwanamke mwenye akili huwaza kabla ya kuvunja ndoa , Ila kupigiwa kupo pale pale kama mwanamke ni wa hvyo, mwanamke sio kiumbe wa kumwamini , we fanya mazoezi ya kumkojoza mke wako tangu umemuoa mpak mnazeeka kama utaweza et kisa unamlinda
Fact! Hajapitia hata ndoa ukute....
 
Ajabu wanaojisifia kufikisha kileleni ni wanaume na sio wanawake ndo waje watoe shuhuda kua kuna miamba inagegeda vyema.

Wa kiume kujisifia namna hiyo ni ubatili coz wewe sio yeye huwezi jua yeye anahisi nini.
Mlete dem wako atoe shuhuda la sivyo hii ni chai.
Facts.
Sisi wanaume tunapenda sifa mno, tena wanaume wa kiafrica, tunajisifia tunapiga mashine na kuwasemea wanawake kuwa umemfikisha, acha mwenyewe aseme, hata ukikesha una gegeda vipi bado mwanamke anaweza toka nje ya ndoa tena easily tu maana wao ni wa kudanganya kwa vitu vidogo vidogo wala haina uhusiano na kugegeda masaa 24.
 
Unajidanganya , we unafkr akienda kutafta 200 au 300 , wahuni hawatamkaza vzur ? Kinachomfanya mwanamke akae kwenye ndo ni Ile hadhi tuu ya ndoa , jamii + dini , na mambo ambayo ameyapitia na Mme wake hv ni baadhi ya vitu mwanamke mwenye akili huwaza kabla ya kuvunja ndoa , Ila kupigiwa kupo pale pale kama mwanamke ni wa hvyo, mwanamke sio kiumbe wa kumwamini , we fanya mazoezi ya kumkojoza mke wako tangu umemuoa mpak mnazeeka kama utaweza et kisa unamlinda
Hawajui wana wake, tena ukiwa na mind hizo utaumia hadi utoe uhai wako, kama ukikuta mwanamke ana tabia hizo za kutoka nje hata ukikesha upiga mashine hadi asubuhi bado atatoka nje, hiyo ni nature, ndio maana comments nyingi humu ni zetu wana ume wana wake wapo humu wanatuangalia tu maana nature yao na yetu ni tofauti, hilo ni kuacha kama lilivyo na timiza majukumu yako kama baba wa familia mengine yaache usipate kichaa, just do for the sake of your family and kids, lakini ukianza kumpekua mkeo basi jua unaelekea kuwa disappointed, and u will run mad.
 
Back
Top Bottom