Ukiona umeenda zaidi ya 3

Ukiona umeenda zaidi ya 3

Wanawake hawafanani wengine unamchpa kimoja yupo Hoi afu Kuna hizo sex machine usijiroge ukakichapa kimoja imekula kwako hio
 
Ni hivi, kuna watu utasikia.. ohh.. mim napiga vi4 mara ooh mi cha pili ndo napiga kweli kweli

Ni hivi, Hakikisha katika tendo hilo ule mzunguko wa kwanza ndo kila kitu.. yaan shauku unayokuwa nayo wewe (mtoto wa kiume kwenye round ya kwanza ndo hiyo hiyo binti huwa anakuwa nayo. Sasa hakikisha una perfom katika kiwango cha hali ya juu kumfikisha kileleni binti. Ukichemka hapo na ukategemea eti utapiga cha pili ni kwamba cha pili huwa hakina shauku kivileee na ni failure to cut the ishu short....

Mbwembwe zote fanya round ya kwanza na hakikisha unaenda zaidi ya dk30... Yaani namaanisha ana active penetration...

Foreplay iwe kuanzia dk 18 kwenda mbele.. aisee. Hata kama humpi hela lazima amwagilie bustani maji.

Wengi mnafeli mkiamini kwenda vi3 sijui vi4 ..

Ukiona umeenda vyote hivyo bas jua ni vya jogoo.. yaani umpige binti dk 40 umchakaze vilivyo amwagilie maji bustani kisawa sawa halafu apate hamu ya cha pili cha tatu cha nne... Noooo way.. tusidanganyane bana.

Mwisho vijana wenzangu haya niliongea naomba nayo mkayatizame.
Bila presha mkuu, umeokoa taifa. Tusije tukapigiwa mzigo na katibu mkuu halafu tukaishia kuhonga na gari juu.
 
Mapenz ya mbali yamenishinda bora uwe single
Yana changamoto sana. Unajua huyu ni demu tu sasa wakati mwingine naona kabisa ana nyege ila ndo tuko mbali. Anavyozimaliza anajua mwenyewe

Nikawa najiuliza hivi hawa wenye ndoa na wanaishi mbali mume mkoa mwingine na mke mkoa mwingine, naona hapo hamna ndoa. Mapenzi ya mbali ni usanii tu
 
Yana changamoto sana. Unajua huyu ni demu tu sasa wakati mwingine naona kabisa ana nyege ila ndo tuko mbali. Anavyozimaliza anajua mwenyewe

Nikawa najiuliza hivi hawa wenye ndoa na wanaishi mbali mume mkoa mwingine na mke mkoa mwingine, naona hapo hamna ndoa. Mapenzi ya mbali ni usanii tu
Kabisa,ni wiz mtupu
 
Tanzania imebarikiwa kuwa na wachambuzi wa Mpira wengi, wachambuzi wa kufikisha wanawake kileleni wengi kuliko nchi yoyote duniani, pia ni nchi pekee duniani ambayo rais wake anasema vijana wasile chips ili kujikinga na upotevu wa nguvu za kiume. Kaaazi kweli kweli
 
story za vijiweni
Kuna siku nilifanya grinding sex na demu wangu na tukaridhika wote wewe unaleta hizi story

Sex inahitaji utulivu wa hali ya juu sana
Grinding ni kusaga ,kwahy unasagana wee jamaa
 
Back
Top Bottom