Ukiona Picha hii Unajisikiaje?

Magwanda mtavaa. Maandamano mtafanya. Mikutano mtafanya. Lakini kuongoza Serikali au Bunge Tukufu la nchi hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SAHAUNI KABISA!
 
Hakujawahi kuwa na siasa za matusi kutoka opposition parties kwa TZ, Jiwe ndiyo ali-brainwash watu wake kuwa ukisemwa ukweli unaomuhusu yeye basi itafsiriwe kwamba ametukanwa kwake siasa za kistaarabu ilikuwa ni pale anaposifiwa tu yaani hata ukiwa na mtazamo tofauti naye kwenye issue yoyote hilo lilitafsiriwa kama tusi.
Those are bygones so let's get it on[emoji123][emoji123].
 
Hapo simuoni Dr. Slaa,
Maana upende usipende Dr. Slaa ndio nguzo ya chadema,
Yule ngiri traitor hafai na kumuweka hapo ni kukiweka chama rehani japo nimesikia yuko anabembeleza wampokee, wakikubali litakuwa ni kosa kubwa sana kwani msemo wa 'once bitten twice shy' huwa na maana kubwa sana.
Alikuwa chawa wa Jiwe na Sukuma gang member hivyo ni kama alikuwa part and parcel ya mauaji na atrocities vilivyofanywa na utawala wa kidikteta wa Jiwe, hana akili ndiyo maana alikuwa akitawaliwa na mkewe.
 

Group of thugs, with little reasoning ability..!!
 
Wote hao wamekwisha umizwa bila makosa, ya Zambia hayawezi kufanyika Tanzania kwsni hapa tayari rais amekwisha simikwa bado tu kuapishwa, wenyewe wanasema utamaduni wao ni miaka kumi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…