Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,877
- 20,731
MAMLAKA YA KUFICHUA UOVU
Mathayo 10:926-28
26 Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
Mathayo 10:26
27 Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
28 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
VUMBI LA ALUMINIMU NA BARIUM KWENYE ANGA KUTOKANA NA GEOENGINEERING NDILO LINALOFANYA MIOTO YA PORI KUWA MIKUBWA NA MIKALI SANA.
Wengi tumekuwa tunashangaa kwa nini mioto inayotokea Marekani, Ulaya, Australia, Canada, na hivi karibuni kabisa Haiti, inakuwa mikali sana na kusafiri kwa kasi sana,kiasi kwamba mtu anashindwa kuikimbia na hivyo kuungua na hatimaye kuuwawa. Inashangaza kwamba hata meli zilizoegeshwa bandarini mbali kidogo na pwani zimeunguzwa na mioto hii ya ajabu!
Wakati akifanya
ukitafiti , Mwandishi Denis Mills,aligundua uhusiano mkubwa na wa kutisha kati ya urekebishaji wa hali ya hewa(Geoengineering) na moto mkali wa nyika. Mwandishi huyu aligundua kuwa viwango vikubwa sana vya Alumini na nanodust ya Bariamu, ni sehemu muhimu katika harakati za kijasusi za kurekebisha hali ya hewa. Vumbi la Aluminium na Barium hufanya moto kuwa mkali sana na wenye kasi kubwa.
Brigedia jenerali mstaafu wa Jeshi la Anga la Marekani-USAF(United States Air Force), Jenerali Charles Jones, amenukuliwa kutoka chanzo cha umma akisema, "Unyunyiziaji huu kwa kutumia ndege nyeupe ni unyunyiziaji wa chembe za Alumini,Bariumu na polima ambazo ni kemikali zenye sumu."
Afisa mwingine wa Jeshi la Majini la Marekani ambaye ni mhitimu wa UCLA aliongeza, "Mamilioni ya tani za Alumini na Bariamu zinanyunyizwa karibu kila siku kote Amerika na Ulaya.
Mills anaendelea,
"Nyunyizia vumbi la Alumini au Bariamu kwenye moto na uone kitakachotokea. Mlipuko mkubwa unatokea."
Mioto ya mwituni inapotokea, vumbi la Alumini/Bariamu ambayo limenyunyiziwa angani,hufanya kuwe na moto mkali sana hivi kwamba wazima-moto wamebuni neno jipya ‘firenados.’
Marekani nzima, pamoja na nchi nyinginezo mbalimbali za NATO, kunanyunyiziwa Aluminium na Bariumu. Hakuna uhakika wa kile kinachoendelea sehemu zingine duniani. Hata hivyo itoshe kusema kwamba kwa vile mkakati wa Globalists kwa Dunia nzima ni mmoja, janga hili litaikumba Dunia nzima, ni swala la muda tu.Upo msemo wa Kiswahili usemao "mwenzio akinyolewa nywele zake, na wewe tia nywele zako lmaji."
Serikali ya Marekani, kwa miaka mingi, imekanusha kwamba upo mpango wa unyunyiziaji wa Alumini na Bariumu ili kurekebisha hali ya hewa(Geoengineering). Sasa inaita mipango yote ya kujaribu kurekebisha hali ya hewa Geoengineering. Hata hivyo haifahamiki mipango yote ya Geoengineering iliyopo ndani ya kapu hilo,ni siri.
Kulingana na mkuu wa operesheni ya California Fire Steve Crawford, mioto ya California inawaka tofauti na kwa ukali zaidi. Imeripotiwa kwamba mioto yote ya nyika ya Marekani, Canada, Ulaya, New Zealand, Australia inaenda kwa kasi zaidi kuliko mtu yeyote ambavyo amewahi kuona na firebreaks ambazo katika miaka ya nyuma ziliweza kudhibiti mioto hiyo,leo haziwezi tena.
Katika eneo la California Mlima Shasta, Francis Mangel, mwanabiolojia wa USDA alifanya utafiti na kupata viwango vya juu vya alumini katika maji na sampuli za udongo za 4,610 kwa kila milioni ambayo ni mara 25,000 ya miongozo salama ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Hii inathibitisha kwamba ni kweli kipo chanzo cha Alumini na Bariumu ambacho si cha asili.
Link:
More here👇
Mathayo 10:926-28
26 Basi, msiwaogope, kwa maana hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa, ambalo halitajulikana.
Mathayo 10:26
27 Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.
28 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
VUMBI LA ALUMINIMU NA BARIUM KWENYE ANGA KUTOKANA NA GEOENGINEERING NDILO LINALOFANYA MIOTO YA PORI KUWA MIKUBWA NA MIKALI SANA.
Wengi tumekuwa tunashangaa kwa nini mioto inayotokea Marekani, Ulaya, Australia, Canada, na hivi karibuni kabisa Haiti, inakuwa mikali sana na kusafiri kwa kasi sana,kiasi kwamba mtu anashindwa kuikimbia na hivyo kuungua na hatimaye kuuwawa. Inashangaza kwamba hata meli zilizoegeshwa bandarini mbali kidogo na pwani zimeunguzwa na mioto hii ya ajabu!
Wakati akifanya
ukitafiti , Mwandishi Denis Mills,aligundua uhusiano mkubwa na wa kutisha kati ya urekebishaji wa hali ya hewa(Geoengineering) na moto mkali wa nyika. Mwandishi huyu aligundua kuwa viwango vikubwa sana vya Alumini na nanodust ya Bariamu, ni sehemu muhimu katika harakati za kijasusi za kurekebisha hali ya hewa. Vumbi la Aluminium na Barium hufanya moto kuwa mkali sana na wenye kasi kubwa.
Brigedia jenerali mstaafu wa Jeshi la Anga la Marekani-USAF(United States Air Force), Jenerali Charles Jones, amenukuliwa kutoka chanzo cha umma akisema, "Unyunyiziaji huu kwa kutumia ndege nyeupe ni unyunyiziaji wa chembe za Alumini,Bariumu na polima ambazo ni kemikali zenye sumu."
Afisa mwingine wa Jeshi la Majini la Marekani ambaye ni mhitimu wa UCLA aliongeza, "Mamilioni ya tani za Alumini na Bariamu zinanyunyizwa karibu kila siku kote Amerika na Ulaya.
Mills anaendelea,
"Nyunyizia vumbi la Alumini au Bariamu kwenye moto na uone kitakachotokea. Mlipuko mkubwa unatokea."
Mioto ya mwituni inapotokea, vumbi la Alumini/Bariamu ambayo limenyunyiziwa angani,hufanya kuwe na moto mkali sana hivi kwamba wazima-moto wamebuni neno jipya ‘firenados.’
Marekani nzima, pamoja na nchi nyinginezo mbalimbali za NATO, kunanyunyiziwa Aluminium na Bariumu. Hakuna uhakika wa kile kinachoendelea sehemu zingine duniani. Hata hivyo itoshe kusema kwamba kwa vile mkakati wa Globalists kwa Dunia nzima ni mmoja, janga hili litaikumba Dunia nzima, ni swala la muda tu.Upo msemo wa Kiswahili usemao "mwenzio akinyolewa nywele zake, na wewe tia nywele zako lmaji."
Serikali ya Marekani, kwa miaka mingi, imekanusha kwamba upo mpango wa unyunyiziaji wa Alumini na Bariumu ili kurekebisha hali ya hewa(Geoengineering). Sasa inaita mipango yote ya kujaribu kurekebisha hali ya hewa Geoengineering. Hata hivyo haifahamiki mipango yote ya Geoengineering iliyopo ndani ya kapu hilo,ni siri.
Kulingana na mkuu wa operesheni ya California Fire Steve Crawford, mioto ya California inawaka tofauti na kwa ukali zaidi. Imeripotiwa kwamba mioto yote ya nyika ya Marekani, Canada, Ulaya, New Zealand, Australia inaenda kwa kasi zaidi kuliko mtu yeyote ambavyo amewahi kuona na firebreaks ambazo katika miaka ya nyuma ziliweza kudhibiti mioto hiyo,leo haziwezi tena.
Katika eneo la California Mlima Shasta, Francis Mangel, mwanabiolojia wa USDA alifanya utafiti na kupata viwango vya juu vya alumini katika maji na sampuli za udongo za 4,610 kwa kila milioni ambayo ni mara 25,000 ya miongozo salama ya Shirika la Afya Ulimwenguni. Hii inathibitisha kwamba ni kweli kipo chanzo cha Alumini na Bariumu ambacho si cha asili.
Link:
https://scientists4wiredtech.com/2020/09/aluminium-dust-from-geoengineering-fueling-super-wildfires/
More here👇
The Maui fires are highly suspicious: Here are NINE questions we should all be asking – NaturalNews.com
There are a lot of anomalies in what is now being described as “the largest natural disaster” in Hawaii history. The Maui fires, which have run their course and left the city of Lahaina and surrounding areas scorched and devastated, do not make sense in terms of how the government is trying to...
www.naturalnews.com