jastertz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 392
- 743
Sio kwa ubaya lakini kusema wanawake wa kanda ya Kaskazini hawafai jua wewe ni mvivu unapenda mseleleko,
Wale ukiwatumia vizuri kutoboa kimaisha ni chap tu, hawazi mapenzi muda wote kama waliopo let say tanga hivi au dar.
shida ni unapata demu badala umtumie katika kufanikisha michongo yako kiakili bila yeye kujua wewe unawaza kumla tu sasa kwa nini asitake hela.
Sisi mbona tunao na wengine tunaoa, wana akili ya maisha wanapenda kujishughulisha usipo mwoneshea au kumoa uhuru wa kufanya kazi lazima atataka ulichonacho na akikipata anakivutia kwake. I speaking from my experience nlidate na mchaga mwaka mmoja.
now nikitaka kufanya chochote ni kuchukua tu mtaji na kuingia popote pale, alinifundisha ujasiri.
Siwatetei na wala sina tena demu wa huko, nawachana tu.
ukitaka kujua namna ya kupambana na life la mtaa kaa na demu wa mitaa hiyo tena kwa akili mbona machaka ya hela utayajua tu.
Mwanaume kitu hutakiwi kufanya ni kudate na mke wa mtu au kudate na demu aliyeshindwa kwenye mahusiano kadhaa, huwezi kufanikiwa mahali wanaume wenzako wameshindwa.😂😂
Wale ukiwatumia vizuri kutoboa kimaisha ni chap tu, hawazi mapenzi muda wote kama waliopo let say tanga hivi au dar.
shida ni unapata demu badala umtumie katika kufanikisha michongo yako kiakili bila yeye kujua wewe unawaza kumla tu sasa kwa nini asitake hela.
Sisi mbona tunao na wengine tunaoa, wana akili ya maisha wanapenda kujishughulisha usipo mwoneshea au kumoa uhuru wa kufanya kazi lazima atataka ulichonacho na akikipata anakivutia kwake. I speaking from my experience nlidate na mchaga mwaka mmoja.
now nikitaka kufanya chochote ni kuchukua tu mtaji na kuingia popote pale, alinifundisha ujasiri.
Siwatetei na wala sina tena demu wa huko, nawachana tu.
ukitaka kujua namna ya kupambana na life la mtaa kaa na demu wa mitaa hiyo tena kwa akili mbona machaka ya hela utayajua tu.
Mwanaume kitu hutakiwi kufanya ni kudate na mke wa mtu au kudate na demu aliyeshindwa kwenye mahusiano kadhaa, huwezi kufanikiwa mahali wanaume wenzako wameshindwa.😂😂