Ukiona mwanaume analia ujue kaguswa pabaya

Ukiona mwanaume analia ujue kaguswa pabaya

Unajua vijana mnapokosea kwanza hioz ni hayo majina manyoitana "Baby" yanatoa connotation meaning
ya kitu ambacho bado hakija komaa kifikra, wewe huwezi kumuita mtu mzima mwenye nywele hadi huko maeneo "Baby"

Pili , ninyinnyote mnaonekana bado hamjaamua kuwa pamoja au mnapimana , hivyo mvumiliane kwanza .
 
Alaf ukipiga kwa lengo la kupata mimba ina maana uende peku. Pia mimba anaweza akabeba kwingine huko alaf akakuletea ulee maana anajua ulitaka mimba

Ina maana huwa unatumia dawa ya penzi?
 
pole mkubwa but ckuiz nijambo la kawaida kwa wanawake but kama unampenda na unamalengo nae mpe mimba huyo jamaa akiona hivyo ataachana nae tu so utabaki nae ww mwenyewe
 
pole mkuu but hilo jambo si ww wa kwanza kukupata cku hiz nikawaida kwa akina dada zetu kuwa na mahusiano na zaid ua mwanaume mmoja kwa malengo mbalimbali but mm nakushaur kama una mpenda sana ukitaka awe wako tu mpe mimba jam?a akiona ni mjamzito atachoka na atakata tamaa so utabaki nae ww mwenyewe but huu ni ushaur tu ww ndio mwenye m?amuz ya mwisho .
 
Mapenzi huwa hayashauriwi na watu ikiamua kiwa zuzu la mapenzi kuwa. Ila hakufai achana nae wanaume huwa hatudanganyi we mtafute abdu na kama yuko mbali. Mpigie sim ongea nae kiume atakwambia tu ukweli
 
Hongera sana, huyo oa.
Vinginevyo, kaka unaweza usioe au ukawa unaacha kila siku. Kimsingi wa kwako anajitahidi sana kama namba ni ya abdu tu. WANAWAKE AMBAO HATUWAKUTI BIKRA MMMMMMH UJUE NI SHIDAH TU. WENGI WANAMICHEPUKO MINGI.
 
Back
Top Bottom