tupo huku kitaa wengi sana:what:Atapata wapi mwingine😛
Mama wa baby wako anakujua?!! Km hujulikani na mwenzio Abdu anajulikana,kubali yaishe. Achia ngazi tafuta usajili mpya
Nimefatilia sana, nimeambiwa Abdu alitangaza uchumba lakini hakupeleka barua wala nini. Na mama yake anasema alikuwa anaomba sana mwanae asijihusishe na Abdu maana ni mchafuzi. Hii ni kwa mujibu wa couzin wangu ambaye alinitafutia huyu binti.
Pole,ila hata nyie si hua mnatupanga hata watano ili muangalie yupi ni wife material?sisi tukiwa nao japo wawili tupime yupi husband material inauma enh?kama wewe ni msafi hujawahi mcheat muache lkn km na wewe kuna mda hua unaenda kuonja mboga kwa jirani tulia tu mradi uwe na uhakika kua wewe ndo njia kuu sio mchepuko.