Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,923
Thx,stay blessed my big sisy!Thats good news dear.... Be good.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thx,stay blessed my big sisy!Thats good news dear.... Be good.
Na ya kwako ni kama vile hujiaminiamini vile!Umesomeka mkuu,usibadilishe sitakuogopa tena lol!nitakuwa nikitaka kutype nikaze macho kwenye keybod nisiiangalie kbs,naweza andika shikamoo au samahani badala ya kuchangua hoja!
Mnadiskasi nini hapa?
Haaaa haaa haaa,naweza sn hata uwe mhadhara wa aina gani nafuguka tu!ili mradi tunapambana kwa hoja tu.Na ya kwako ni kama vile hujiaminiamini vile!
Hivi kwa avatar hii unaweza simama kwenye umati na kutoa mhadhara kweli weye?
Kuna mzungu mmoja wa aina yako hiyo alitamka kuwa.."You better kill me than instructing me to talk to the public"
Mbona ya kwako ni kama vile mtu wa aibu sana, na unalazimisha khijabu ikuzibe uso wote at any point of time!
Ni kweli ni mwoga kiasi hicho?
Huyu ni Maty kaumbike lol
Acha tu bi dada, mie Jmosi kilinuka kote kote, nje na ndani!Kimey habari yako Mkuu... Hapa lolote laingia... Kwa mfano naomba nijue kama wewe
Yanga ama Simba (maana siamini kuna mwanaume hapendi sports)
Nafarijika pale watu wanpokusifia kumbe nimepata kitu bomba! lolAisee!
Aisee!
Unashangaa nini...Aisee!
Kiongozi huwezi jua labda Sauti ya Jangwa kaja kivingine..lolUnashangaa nini...
Ushapendwa na mtu, mjibu!
Au ndiyo nanihiino wetu nini...weka hazarani mambo bana!
Acha tu bi dada, mie Jmosi kilinuka kote kote, nje na ndani!
Chagua mwenyewe Faini yako? huwezi kunigandishandisha getini kiasi kile mpaka mabaunsa wakawa wananishangaa!umeona eeh....nimekumiss lakini...
Aisee!
Ilibidi nipige vitu vigumu kutafuta usingizi!aaisee!! Hapo najua pole ni "useless" maana hata pombe haikunyweka (kijiwe kilinuka...lol) pakukimbilia hope palikuwepo....
Acha tu bi dada, mie Jmosi kilinuka kote kote, nje na ndani!
He he heeee!Kiongozi huwezi jua labda Sauti ya Jangwa kaja kivingine..lol
BTW kapotelea wapi kamanda wangu?
Huyo ndo zake...Chagua mwenyewe Faini yako? huwezi kunigandishandisha getini kiasi kile mpaka mabaunsa wakawa wananishangaa!
hehehehe kiongozi hapo kwenye RED haupo kimasla zaidi? lolHe he heeee!
Sasa hivi anaongea na vinanihii vya Kihabeshi....watamtaka?
WatamPM na wala hajibu kitu!
Waambie hao mwenye kutaka sana mawasiliano nae aje A-Town nimpe namba za siri za Muzee ya Sauti ya Jangwani!
Chagua mwenyewe Faini yako? huwezi kunigandishandisha getini kiasi kile mpaka mabaunsa wakawa wananishangaa!