Ukiona hivi.....sema sala zote!

Ukiona hivi.....sema sala zote!

Nashauri kabla ya kuruhusiwa kuendesha Lori au Gari la abirMadereva wetu aia, ni muhimu kila dreva apimwe akili:

View attachment 67294
Katika hii barabara ya Dsm-Mbeya, mabasi ndiyo yanayoendeshwa ovyo kabisa, na wanaenda kwa mtindo wa kushindana.
Asante mama mdogo kwa mfano huu, hilo tenka likilipuka kwa kuongwa tazama mabasi yenye jumla ya watu 200 (watu 50 kila basi) wanaweza kuteketea.
 
Hapo unakaribia kusalimiana na Chacha Wangwe
 
Nashauri kabla ya kuruhusiwa kuendesha Lori au Gari la abirMadereva wetu aia, ni muhimu kila dreva apimwe akili:

View attachment 67294

nimetoka kupita hapo sasa ni milima wakati unaitafuta ruaha mbuyuni daa kona za apo hadi nimeogopa make ukiwa kwenye gari dogo huziona vizuri,. Madereva wetu siwaelewi
 
Watz wengi kutokana na ugumu wa maisha
walishajisajili kwenye kifo!!:hatari:
 
nimetoka kupita hapo sasa ni milima wakati unaitafuta ruaha mbuyuni daa kona za apo hadi nimeogopa make ukiwa kwenye gari dogo huziona vizuri,. Madereva wetu siwaelewi
Ndiyo hivyo tena, mlima wa Iyovu huo, madereva wetu wa ma bus utafikiri wana roho replaceble, za plastic au za mchina:


Very Risk Double Overatake 3.jpg
 
OOPS OVERTAKE.jpg OOPS OVERTAKE1.jpg OOPS OVERTAKE2.jpg
Yaani hii mambo inatisha sana. Hawa jamaa tusipokuwa wakali watatumaliza manake hawajali kona au ni magari mangapi ana-overtake! Kwa uendeshaji huu sina sababu ya kushabikia dreva afanye hivyo eti nifike mapema huko niendako. Ni uhayawani kumshabikia dereva kama huyu jamani. Duh!
 
DSC_2541.JPG
Mh. Mwanjelwa M. akiwa anatafakari ajali iliyokosa kuchukua uhai wake. Haya malori na mabasi hatari ukipishana nalo salama inabidi umshukuru Mungu maana Mh Mwanjelwa waligongwa na lori la mafuta lilikosa mwelekeo na kuwaka moto.
 
Una bahati pembeni kulikuwa na chance ya kutanulia,inatokeaga ile pembeni gema ama korongo chupi lazima ibane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom