tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Mar 19, 2012 #1 Hapo wameona unaongea pumba au walikula maharage?
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Mar 19, 2012 #2 wanasali sala ya kuomba shule yao ipate madawati
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Mar 19, 2012 Thread starter #3 Inkoskaz said: wanasali sala ya kuomba shule yao ipate madawati Click to expand... Wanatafakari kama wasira.
Inkoskaz said: wanasali sala ya kuomba shule yao ipate madawati Click to expand... Wanatafakari kama wasira.
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Mar 19, 2012 #4 Inkoskaz said: wanasali sala ya kuomba shule yao ipate madawati Click to expand... Lini? ikiwa fedha zetu za kodi watu wanalipia walinzi wa kanisani? na wanawalipia posho za 250,000 ma hausigeli na mahawara. Madawati mangapi hapo?
Inkoskaz said: wanasali sala ya kuomba shule yao ipate madawati Click to expand... Lini? ikiwa fedha zetu za kodi watu wanalipia walinzi wa kanisani? na wanawalipia posho za 250,000 ma hausigeli na mahawara. Madawati mangapi hapo?
Nyetk JF-Expert Member Feb 28, 2012 1,648 1,696 Mar 19, 2012 #5 Ribosome said: Lini? ikiwa fedha zetu za kodi watu wanalipia walinzi wa kanisani? na wanawalipia posho za 250,000 ma hausigeli na mahawara. Madawati mangapi hapo? Click to expand... Tufafanulie hapo pekundu!
Ribosome said: Lini? ikiwa fedha zetu za kodi watu wanalipia walinzi wa kanisani? na wanawalipia posho za 250,000 ma hausigeli na mahawara. Madawati mangapi hapo? Click to expand... Tufafanulie hapo pekundu!
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Mar 20, 2012 #6 Mbona kama wanakwepa wasifotolewe hao!!!!
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Mar 20, 2012 #8 Ishu ni kwamba hapo wanapewa statistics za matokeo ya mitihani...ambapo 90% wamepiha ki-MwanaAsha!