Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 2,937
- 3,998
Ukisoma maelekezo aliyotoa kwenye kipengele cha pili ndicho kinaelezea hivyo.... Unless kuwa sijamwelewa vizuri kwa alichomaanisha.Hapo mbona kuna icon ya "on going call" kwamba wakati unapiga hii screenshot kuna simu ulikuwa unaongea nayo au unapiga, kama ni hivyo basi hiyo ndio sababu ya kuonekana kwa hiyo icon ya kijani