kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Natumai ni wazima kabisa, nina jambo moja ningependa kushauriwa hapa, naamin kuna watu wenye uzoefu na hili na kujua ufumbuzi wake kiujumla. Nakuomba usipite bila kutoa ushauri wako.
Je, kuna mtu yoyote ambaye katika maamuzi ya kuoa aliamua kuoa mwanamke ambaye ilionekana kwenye familia yake kama pana maadili mabovu (mama) na akaamua kuoa na huyo mwanamke asiwe amefata tabia za mama yake kwa kipindi walichoishi wote? Kwa mfano kama mama aliolewa zaidi ya mara moja inaweza ikamuathiri na watoto wake wa kike?
Je, sifa za mama zinaweza zisiwe kipaumbele kwenye maisha ya watoto zake wakike (wasiige lifrstyle ya mama yao)?
Wenye uzoefu na hili usipite bila kutoa ushauri wowote.
Je, kuna mtu yoyote ambaye katika maamuzi ya kuoa aliamua kuoa mwanamke ambaye ilionekana kwenye familia yake kama pana maadili mabovu (mama) na akaamua kuoa na huyo mwanamke asiwe amefata tabia za mama yake kwa kipindi walichoishi wote? Kwa mfano kama mama aliolewa zaidi ya mara moja inaweza ikamuathiri na watoto wake wa kike?
Je, sifa za mama zinaweza zisiwe kipaumbele kwenye maisha ya watoto zake wakike (wasiige lifrstyle ya mama yao)?
Wenye uzoefu na hili usipite bila kutoa ushauri wowote.