Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Mh hivi jamani hamna yoyote anaye muonea huruma mke wa ndoa ambae ndiyo kasalitiwa?
mke amlaumu mumewe 100%, mie kila cku nasemaga mtoto chini ya mwanangu wa pili cmpokei kwenye familia yangu, nalea niliemkuta alienikuta inamuhusu na baba yake na mama yake na uzinifu wao, kila mtu abebe mzigo wake aise.