najmarsaidy
Member
- Sep 17, 2016
- 47
- 46
Hahahahahahaha
Aisee, Mara hii mzuka umepanda......haya, kisha niletee mrejeshoUnadhani sipendi mkuu??
Natamani ila aibuu
Sema nitajaribu leo
Kwani ukiomba kuvalishwa unakataliwa?Ukishakipata kwann usirudishie kama ulivyokuta?
NakosajeUmeshampata wa kujaribishia?
Aisee, Mara hii mzuka umepanda......haya, kisha niletee mrejesho
ha ha unavua mwenyewe siyo?Sijawahi kuvuliwa
Wanawake wengine unapiga rungu tu unaachana nayeee..Mara nyingi huwa tunavuana kwa joto kweli lkn tukisha timiza yetu kila mmoja anajivalisha ...kwanini tusivalishe pia?
Kwahiyo upo kuvuliwa tu na kurudishiwa km Bidoli ya KariakooUkishakipata kwann usirudishie kama ulivyokuta?
Hamna namna mkuuha ha unavua mwenyewe siyo?
duh hataree bestHamna namna mkuu
Unavua mwenyewe au bado bikra?..Sijawahi kuvuliwa
Yule jamaa uliempata hapa baada ya kuweka uzi wa kutafuta mwanaume wa kula nae 6×6 weekend mbona hujamtaja?Najua kama ananiona zaidi ya yote anajua huo ndiyo ukweli halisi mkuu

Hata kwenye daladala tunapanda kwa fujo nakupigana vikumbo,lakini wakat wa kushuka ,yaan ni taaratibu kama hutaki vileMara nyingi huwa tunavuana kwa joto kweli lkn tukisha timiza yetu kila mmoja anajivalisha ...kwanini tusivalishe pia?
Mm sijaolewa mkuu na ni bikra bado