Uligawiwa nyumba mini? Mbona husemi kuhusu kashfa ya meli ya kigamboni kwenda bagamoyo?
Mbona huongelei kashfa ya nyumba za serikali?
Mbona hutukumbushi kauli ya kama huwezi kulipa feri piga mbizi?
mnamchafua sbb mnauogopa lkn.mtu peke anayekubalika na mamilion ya watanzania ni MAGUFULI KWA UCHAPA KAZI WAKE ULIOTUKUKA UNAMGUSA TAJIRI NA MASIKINI,CCM msifanye kosa watanzania tunamtaka Magufuli,hivyo vikashifa havina mashiko wala ushaidi na amesema atavijibu maana vinaenezwa na wabaya wake.
Nitakujibu ni Dr. John Pombe Magufuli, pamoja na ushabiki wangu ndani ya Ukawa lakini nimeshindwa kuushawishi moyo wangu uweze kukubali kuwa kuna kiongozi zaidi ya Magufuli anaweza kuliongoza vema Taifa hili
Kwa mara ya kwanza nitapiga kura ya Urais kwenda CCM iwapo huyu ndiye atakayekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
Kwanini Magufuli, ni mtendaji na msimamizi nzuri ambaye hana wa kumfananisha naye kwa ubora wake wakati fulani nikiwa mfanyakazi ktk halmashauri fulani nilishuhudia jinsi fedha za RF zilivyokuwa zinaogopwa.
Kama binadamu Magufuli ana mapungufu yake lakini ubora wa Magufuli na umuhimu wake kwa nchi hii unazidi mapungufu aliyo nayo, Kila la heri Magufuli.
Raisi sio mtu mnoja ni mfumo wa chama kizima na serikali yake hivyo mtu mmoja hawezi ku control watu wachama na wananchi hivyo anakuwa under control dawa ni kutoa mfumo mzima ili maisha yaendelee upya