huwa nashindwa kutofautisha michuzi blog na global publishersFigga uko juu, even bloggers wa Bongo wamebaki ku-copy picha za wenzao yani ukifungua blog zote za kibongo utadhani zinamilikiwa na mtu mmoja. Wanakosa utundu wa kukamata matukio simple kama haya. Mia aka 100.
Mkuu hiyo miwani yako inaona??. miaWacha uchokozi mkuu !
Mkuu hiyo miwani yako inaona??. mia
hahahahaaaaa...!!!!. miaBila wasiwasi ! mia
wahehe hapo denda linawatoka kinoma, wanatamani kadondoke wakakapige kitoweo