Ngoja nijipe muda kwanzaNambie tuu
Ah wee mie napenda mwanamke wangu agegedwe huku naangalia pia. Vipi njoo basi tuwe pamoja mremboWakuu,
Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.
Yaani hivyoo.
Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.
Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??
Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
Sasa huyo sii ata kucheat tuu...ndio uje kwangu kunisusia hiyo mbususuNimeshikwa nimeshikamana kwakweli
Baby umu anatosha
Wala hamna cha kunielewesha hapo
Kubalini tu kwamba hivyo visingizio vyenu vishapitwa na wakati, siku hizi ukichiti utachitiwa tu, hayo ya sijui mwanaume rijali na mwanamke malaya yamebaki kuwa siasa tu
Sababu pamoja na kuwatukana kote huko wanawake huku mitandaoni na kusema hawafai kuolewa, ila mambo kwa ground ni tofauti, kila siku ndoa zinafungwa na wengi siyo mabikira
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Sawa. We wewe itoe tu si ya kwako na FYI hakuna mwanamke anamkomoa mwanaume kwa kugawa sana mbususu.Wala hamna cha kunielewesha hapo
Kubalini tu kwamba hivyo visingizio vyenu vishapitwa na wakati, siku hizi ukichiti utachitiwa tu, hayo ya sijui mwanaume rijali na mwanamke malaya yamebaki kuwa siasa tu
Sababu pamoja na kuwatukana kote huko wanawake huku mitandaoni na kusema hawafai kuolewa, ila mambo kwa ground ni tofauti, kila siku ndoa zinafungwa na wengi siyo mabikira
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Nilireply kutokana na Quote yako kwamba "ukichiti na wewe unachitiwa" hii tafsiri rahisi kuwa unagawa on revenge ndio mana nikakwambia mtagawa Sana mbususu eti kisa tu mwanaume wako kacheatSasa kama hamkomoleki kwanini huwa mnachukia, na nani aliyewaambia kila mwanamke anayechepuka anamlipizia au anamkomoa mume wake, wengine huchepuka sababu wamekosa upendo na wanateseka kwenye hayo mahusiano yao mlitaka wafanye nini
Wewe ni DEMU tu hutaki andamanaYani mimi naleta hoja wewe unaleta habari za neno demu hizo ni dalili za kukosa hoja, mwanamke kuitwa demu ni kwa mujibu wa nani na huyo anayemuita demu anamuita hivo kama nani, vipi na mama yako akiitwa demu ni sahihi siyo
Tunawapaga vyeo ila ndio huwa hamjuiYani mimi naleta hoja wewe unaleta habari za neno demu hizo ni dalili za kukosa hoja, mwanamke kuitwa demu ni kwa mujibu wa nani na huyo anayemuita demu anamuita hivo kama nani, vipi na mama yako akiitwa demu ni sahihi siyo
That's my girlWakuu,
Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.
Yaani hivyoo.
Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.
Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??
Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
Demu ni slang tu ya kiswahili, kwa wenzetu wanaita dame...pia ni slang ya kiingereza. Dame ni mwanamke, so haina maana mbaya kama tunavyodhani.Wewe ni DEMU tu hutaki andamana
Van Dame ni DEMU?!Demu ni slang tu ya kiswahili, kwa wenzetu wanaita dame...pia ni slang ya kiingereza. Dame ni mwanamke, so haina maana mbaya kama tunavyodhani.
Ndio uje kwangu unisusie hiyo mbususuAkichiti na mimi nachiti
Anatosha sii mapenzi ya mwanzo hayo au bado yale yale ya mjomba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unatamanii eehh
Sema ndo hvo bebi wangu atosha