Ukinichiti nakuchiti

Ukinichiti nakuchiti

Wakuu,

Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.

Yaani hivyoo.

Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.

Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??

Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
Ah wee mie napenda mwanamke wangu agegedwe huku naangalia pia. Vipi njoo basi tuwe pamoja mrembo
 
Wala hamna cha kunielewesha hapo

Kubalini tu kwamba hivyo visingizio vyenu vishapitwa na wakati, siku hizi ukichiti utachitiwa tu, hayo ya sijui mwanaume rijali na mwanamke malaya yamebaki kuwa siasa tu

Sababu pamoja na kuwatukana kote huko wanawake huku mitandaoni na kusema hawafai kuolewa, ila mambo kwa ground ni tofauti, kila siku ndoa zinafungwa na wengi siyo mabikira

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app

I like this!

At least I know the future is all here.
 
Wala hamna cha kunielewesha hapo

Kubalini tu kwamba hivyo visingizio vyenu vishapitwa na wakati, siku hizi ukichiti utachitiwa tu, hayo ya sijui mwanaume rijali na mwanamke malaya yamebaki kuwa siasa tu

Sababu pamoja na kuwatukana kote huko wanawake huku mitandaoni na kusema hawafai kuolewa, ila mambo kwa ground ni tofauti, kila siku ndoa zinafungwa na wengi siyo mabikira

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Sawa. We wewe itoe tu si ya kwako na FYI hakuna mwanamke anamkomoa mwanaume kwa kugawa sana mbususu.

Sasa endeleeni kushibishana hizi dhana za kugawa kisa mwanaume wako kambato sehemu
 
Sasa kama hamkomoleki kwanini huwa mnachukia, na nani aliyewaambia kila mwanamke anayechepuka anamlipizia au anamkomoa mume wake, wengine huchepuka sababu wamekosa upendo na wanateseka kwenye hayo mahusiano yao mlitaka wafanye nini
Nilireply kutokana na Quote yako kwamba "ukichiti na wewe unachitiwa" hii tafsiri rahisi kuwa unagawa on revenge ndio mana nikakwambia mtagawa Sana mbususu eti kisa tu mwanaume wako kacheat

Kwa hiyo kugawa mbususu ndio suluhu ya mahusiano yako kukosa upendo? (Je wewe kama wewe ndio suluhu yako hii?)
 
Yani mimi naleta hoja wewe unaleta habari za neno demu hizo ni dalili za kukosa hoja, mwanamke kuitwa demu ni kwa mujibu wa nani na huyo anayemuita demu anamuita hivo kama nani, vipi na mama yako akiitwa demu ni sahihi siyo
Wewe ni DEMU tu hutaki andamana
 
Wakuu,

Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.

Yaani hivyoo.

Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.

Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??

Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
That's my girl
 
Wewe ni DEMU tu hutaki andamana
Demu ni slang tu ya kiswahili, kwa wenzetu wanaita dame...pia ni slang ya kiingereza. Dame ni mwanamke, so haina maana mbaya kama tunavyodhani.
 
Demu ni slang tu ya kiswahili, kwa wenzetu wanaita dame...pia ni slang ya kiingereza. Dame ni mwanamke, so haina maana mbaya kama tunavyodhani.
Van Dame ni DEMU?!
 
Zodwa unidai zawadi ya bando la week... umenifirahisha sana unavyoenda bampa to bampa na hawa jinsi ya kujimwambafy
 
Back
Top Bottom