Ukinichiti nakuchiti

Ukinichiti nakuchiti

Ili mradi moyo wako unafurahia kufanya hivyo na ndio unaona ni tiba kwa nini tukupinge...

Upigwe kofi shavu la kushoto ugeuze la kulia we ni yesu,
atoe panga nawe unatoa kisu.
 
Huwa nashindwa kuelewa logic iko wapi hapa

Mkuu kumbuka mwanaume anafanya na mwanamke na mwanamke anafanya na mwanaume yani tendo hilo ni la kutegemeana baina ya jinsia hizo

Sasa haiingii akilini eti tendo linalohusisha jinsia mbili jinsia moja ikilifanya hilo tendo isifiwe halafu nyingine ikilifanya hilo hilo tendo idharauliwe hilo haliwezekani
Usijali ipo siku utaelewa tu.

Lakini hiyo ndio hali halisi.
 
Na kwa taarifaa yenuu huwaa tuna Jambo letuu dogo tu maisha yanaendelea...huwaa hatuumizi kichwaaa ni slow but sureee😅😅😅
Yeah tumekubaliana anayekuumiza na wewe mtafutie mwenzie kimya kimya...
Ajiulize huyu sku hizi viipii
 
Uzeeni Mwanamke anachakaa haraka ila mwanaume anachoka akili haraka kama aliendekeza ngono ujanani
Sasa endeleeni tu
 
Uzeeni Mwanamke anachakaa haraka ila mwanaume anachoka akili haraka kama aliendekeza ngono ujanani
Sasa endeleeni tu
Waambiee waeleweee...sisi tunasikilizaa tustory zaoo humuu..tunasema tuuu fainali uzeeni...huu mchezoo wala hauitaji hasiraa
 
Wembe ulionyolea.....
#kichwayamaster 😂😂😂😂😂
 
Waambiee waeleweee...sisi tunasikilizaa tustory zaoo humuu..tunasema tuuu fainali uzeeni...huu mchezoo wala hauitaji hasiraa
Hahaha yule babu hata hajui siku....akiweka simu kwenye koti ataitafuta siku nzima wakat ipo mfukoni, pesa anadondosha hovyo...lakini ujana waje aliula ipasavyo...
Yani mzabzab type na pesa ilikuwepo ya kutosha
 
Back
Top Bottom