Ukinichiti nakuchiti

Ukinichiti nakuchiti

Wewe unaona suluhu ni ipi mkuu labda tusikie na maoni yako, mind you kuachana hakuna tofauti na kuchepuka maana tafsiri ni ile ile tu kubadilisha wanaume/wanawake, wewe unaona suluhu ni ipi hapo

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app

Ok vizuri, kwanza niseme kwanza napenda mijadala ya aina hii ambayo tunaulizana kwa staha.

Maoni yangu:

-Kama unahisi sehemu haina upendo , suluhu ni kuachana kabisa sio kucheat. Mana hii kuforce ndio mwisho mnapigana na mashoka na mapanga

-Anaedhalilika zaidi kwenye suala la kucheat ni mwanamke hivyo mwanamke hapaswi kushidana na mwanaume.


Pia ifahamike mimi sio muumini wa kucheat na pia kama unacheat kwa namna yoyote ni heshima sana Kuhakikisha kuwa mwenza wako hajui
 
Umeishiwa hoja umeamua kuja na ad hominem attacks, halafu eti hii ndio jinsia inayojisifia kutumia logic na siyo hisia wakati hapa tu umetumia mihemko yani umejibu kama uko kwenye siku zako, kakojoe ukalale bruh
Wewe DEMU tu sawa na Taulo/Tambala la Guest lipo kwa ajili ya kujifutia majanaba,
 
Ok vizuri, kwanza niseme kwanza napenda mijadala ya aina hii ambayo tunaulizana kwa staha.

Maoni yangu:

-Kama unahisi sehemu haina upendo , suluhu ni kuachana kabisa sio kucheat. Mana hii kuforce ndio mwisho mnapigana na mashoka na mapanga

-Anaedhalilika zaidi kwenye suala la kucheat ni mwanamke hivyo mwanamke hapaswi kushidana na mwanaume.


Pia ifahamike mimi sio muumini wa kucheat na pia kama unacheat kwa namna yoyote ni heshima sana Kuhakikisha kuwa mwenza wako hajui
Kama huchiti wala hutachitiwa
Tatizo ni wale wanaochiti halafu wanataka wengine wafe na stress
 
Wewe nina mashaka na elimu na akili yako kwani jina la mtu likiwa linafanana na neno lenye maana fulani ni lazima huyo mtu awe kama maana ya hilo neno, na ulivyo less informed eti Van Dame wakati jina lake linaandikwa Van Damme, halafu ndio ninyi mkikosolewa na kuambiwa ukweli mnaita watu wajuaji kumbe wajuaji wa kwanza ni ninyi kujifanya mnajua wakati hamjui
Elimu yangu na akili yangu havina uhusiano na wewe kuitwa DEMU, acha kujifanya kujua wewe ni DEMU ni DEMU tu utapigwa mashine utaachwa kulialia watakuja wengine watakupiga mashine watapita kushoto maana wewe ni DEMU, copy that?
 
Wewe DEMU tu sawa na Taulo/Tambala la Guest lipo kwa ajili ya kujifutia majanaba,
Na mama yako kumbuka nae ni mwanamke? Kama mwanamke ni kama tambala la gest , na mama yako ni mwanamke then .....hebu malizia
 
Kwa hio nyinyi ni akina maDame? Yaan Van Dame nae ni DEMU?
Mkuu,
Kwani Van Nisterlroy, Van Persie na majina mengine yenye VAN yana maana gani?

Lakini pia unatakiwa kujua chanzo na maana ya majina kabla ya kufanya hitimisho. Dame ina origin ya huko ufaransa na imetoholewa kwenye lugha nyingine kama kiingereza kwa maana ile ile.

Lakini pia yule mwamba nadhani ni Van Damme na sio Van Dame.
 
Mkuu,
Kwani Van Nisterlroy, Van Persie na majina mengine yenye VAN yana maana gani?

Lakini pia unatakiwa kujua chanzo na maana ya majina kabla ya kufanya hitimisho. Dame ina origin ya huko ufaransa na imetoholewa kwenye lugha nyingine kama kiingereza kwa maana ile ile.

Lakini pia yule mwamba nadhani ni Van Damme na sio Van Dame.
Kiswahili fasaha DEMU ni kitambaa ambacho mwanamke amekitumia wakati wa hedhi.

Km unavaa kitambaa wakati wa hedhi wewe ni DEMU tu hata ukiwa na jinsia ya kiume

Haya tofauti ya Damme na Dame hii hapa, Mimi nazungumzia DEMU sio DAME au DAMME, copy?!

Screenshot_20230209-152158.png
Screenshot_20230209-152238.png
 
Mkuu,
Kwani Van Nisterlroy, Van Persie na majina mengine yenye VAN yana maana gani?

Lakini pia unatakiwa kujua chanzo na maana ya majina kabla ya kufanya hitimisho. Dame ina origin ya huko ufaransa na imetoholewa kwenye lugha nyingine kama kiingereza kwa maana ile ile.

Lakini pia yule mwamba nadhani ni Van Damme na sio Van Dame.
Van ni son of
 
Na mama yako kumbuka nae ni mwanamke? Kama mwanamke ni kama tambala la gest , na mama yako ni mwanamke then .....hebu malizia
Haijarishi km anavaa kitambaa cha wakati wa hedhi yeye ana tofauti gani sasa au wewe sio DEMU hauvai taulo wakati wa hedhi?
 
Kiswahili fasaha DEMU ni kitambaa ambacho mwanamke amekitumia wakati wa hedhi.

Km unavaa kitambaa wakati wa hedhi wewe ni DEMU tu hata ukiwa na jinsia ya kiume

Haya tofauti ya Damme na Dame hii hapa, Mimi nazungumzia DEMU sio DAME au DAMME, copy?!

View attachment 2511518View attachment 2511519
Duh mkuu sawa, ila nachojua hilo neno limetoholewa tu na kuletwa huku kama lilivyo.
 
Duh mkuu sawa, ila nachojua hilo neno limetoholewa tu na kuletwa huku kama lilivyo.
Hapana mtohoo wowote DEMU ndio maana yake hio waone BAKITA watakupa maelezo zaidi kuhusu neno DEMU
 
Wakuu,

Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.

Yaani hivyoo.

Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.

Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??

Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
Sasa unamuachaje aliyekuacha? Maana ukiachwa wewehuna wa kumuacha
 
Back
Top Bottom