Ukinichiti nakuchiti

Ukinichiti nakuchiti

Kama huchiti wala hutachitiwa
Tatizo ni wale wanaochiti halafu wanataka wengine wafe na stress
Swali langu kwako: Kwa hiyo suluhu yako kwenye suala la cheating ni wewe kugawa mbususu?

Ulishajiuliza kwa nini unacheatiwa?
 
Masikini unatia huruma ona ulivyopanic hadi unaishia kutukana hovyo kama mwehu na wala hata hakuna cha ajabu unachotukana, mwanamke kumwagiwa ni maumbile yake hata mama yako alimwagiwa janaba ndio wewe ukapatikana, na kila mtu hapa duniani ni matokeo ya hizo janaba sasa sijui cha ajabu kipi hapo
Wewe DEMU emu kaa kimya basi maana unaongea sana au upo kwenye siku zako za hedhi? Umevaa lile tambara kwanza?
 
Huwa nashindwa kuelewa logic iko wapi hapa

Mkuu kumbuka mwanaume anafanya na mwanamke na mwanamke anafanya na mwanaume yani tendo hilo ni la kutegemeana baina ya jinsia hizo

Sasa haiingii akilini eti tendo linalohusisha jinsia mbili jinsia moja ikilifanya hilo tendo isifiwe halafu nyingine ikilifanya hilo hilo tendo idharauliwe hilo haliwezekani
Kuna mmoja anakojoa na mwingine anakojolewa so tofauti ipo hapo, wakikojoa 10 au20 na mwingine akikojolea 10 au 20 kuna mmoja atakuwa kama public toilet
 
Kuna mmoja anakojoa na mwingine anakojolewa so tofauti ipo hapo, wakikojoa 10 au20 na mwingine akikojolea 10 au 20 kuna mmoja atakuwa kama public toilet
So ni vizuri wote kujitunza ila mwanamke kujitunza zaidi ni credit, nyie kadri unavotumika zaidi unachakaa ila kadri mwanaume anavotumika zaidi anarudi ujana
 
Ila kilometer zitasoma kwa nani? Kidude ni chako utaamua ww mwenyewe umpe nan.
 
Wakuu,

Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.

Yaani hivyoo.

Updates
Wakati napost huu ujinga wangu wala sikuwa na hard feelings ila maoni ya waja hasa ya wanaume yamenifanya niwe serious kidogo. Yani kwa kifupi wanaume hawapendi kuchapiwa kabisaaaaaa...yani wanapenda wao watende ila wasitendewe.

Ina maana umeniacha au umenitenda je nibaki single milele kisa K itachakaa??

Unanitesa bado nivumilie mateso kwakuwa tu eti nitaonekana malaya?? Kama moyoni mwangu najua sifanyi umalaya wala sijali. Ukiniacha na mimi nakuacha.... ukinichiti na mimi nitatafuta wa kunipoza tena nahamia kimapenzi huko kabisa.
Kwa hiyo furaha mmeumbiwa wanaume zaidi ila wanawake wameumbiwa mateso?
Asee wembe ule ule ulionyolea mwenzio ndo utakaokunyoa.
Naka #kichwayamaster
Nakadori huna huruma na
 
Nakadoro hivi wanawake ukimchit mwanaume unamkomoa yeye ama unajikomoa coz mna depreciation
 
Back
Top Bottom