Ukinichiti nakuchiti

Ukinichiti nakuchiti

Wakuu,

Aliyekuumiza mtafutie mwenzie ili akimuona aumie mara mbili yake. Ukinichiti nakuchiti, ukiniacha nakuacha ya nini kuumizana.

Yaani hivyoo.
Mkuu dunia ya visasi hiyo sasa usifanye'ivoo.

Kuna mambo mengine ukifanyiwa, samehe tyuu dunia isonge bhana.

Tuchukulie wewe ndiye uliyebananishwa sehemu ukacheat, je ni lazima na wewe utendewe hayo?

Mwizi haadhibiwi kwa kuibiwa na mzinzi haadhibiwi kwa kutombewa!

Halafu uelewe "cheat" ya wanaume na wanawake havilingani ni kama magharibi na mashariki.

Kucheat kwa mwanaume ni kwa tamaa na upendo hubakia kwa mkewe lakini kucheat kwa mwanamke ni kuhamisha upendo kutoka sehemu moja na kuupeleja sehemu nyingine, so hakuna usawa.

So, maamuzi yetu siku zote yahusishwe na busara na misamaha ili maisha yaendelee kuwepo.
 
Mkuu dunia ya visasi hiyo sasa usifanye'ivoo.

Kuna mambo mengine ukifanyiwa, samehe tyuu dunia isonge bhana.

Tuchukulie wewe ndiye uliyebananishwa sehemu ukacheat, je ni lazima na wewe utendewe hayo?

Mwizi haadhibiwi kwa kuibiwa na mzinzi haadhibiwi kwa kutombewa!

Halafu uelewe "cheat" ya wanaume na wanawake havilingani ni kama magharibi na mashariki.

Kucheat kwa mwanaume ni kwa tamaa na upendo hubakia kwa mkewe lakini kucheat kwa mwanamke ni kuhamisha upendo kutoka sehemu moja na kuupeleja sehemu nyingine, so hakuna usawa.

So, maamuzi yetu siku zote yahusishwe na busara na misamaha ili maisha yaendelee kuwepo.
Mkuu umejipindaaa wakati mwenzio wala hayo sio maoni yangu ni ya macvoice
 
Back
Top Bottom