Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,091
Nafurahi kuona serekali yetu inachukuwa hatua za kimya kimya kushughulikia wote wanaojihusisha na matendo ya utekaji na matendo yote yasiyo mema,
Napongeza kwa hatua ya ukimya huu, na pia kwa sasa watanzania wakae na kujidai kifua mbele, taarifa za siri zinaeleza baadhi ya watekaji wanashughulikiwa kimya kimya, maana yake tatizo hili linakwenda kuwa hadithi za kale ndani ya muda mfupi ujao!.......
#Si kila operesheni ni ya kutangaza,
#Asante Dr. Samia kwa kushughulikia suala hili.
#Mitano tena 🔲✔
#Asante mnyetishaji!
Napongeza kwa hatua ya ukimya huu, na pia kwa sasa watanzania wakae na kujidai kifua mbele, taarifa za siri zinaeleza baadhi ya watekaji wanashughulikiwa kimya kimya, maana yake tatizo hili linakwenda kuwa hadithi za kale ndani ya muda mfupi ujao!.......
#Si kila operesheni ni ya kutangaza,
#Asante Dr. Samia kwa kushughulikia suala hili.
#Mitano tena 🔲✔
#Asante mnyetishaji!