combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
Nimejaribu kufuatilia siasa za chadema/ukawa kwa muda tokea aingie Lowasa kumekuwa na kutokuelewa kwa viongozi wa ngazi za juu.huyu professor alikuwa so potential kwa chadema mbona leo hii simsikii wala kumwona majukwaani au ameungana na Dr slaa au Professor mwenzie.