Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Huwa nakaa na kufikiria sana ukimya wa Lowasa katika siasa za Tanzania huwa sipati majibu mpaka leo. Sijwahi kupata majibu ya ukimya wa Lowasa.
Pia,huwa nashindwa kumwelewa Lowasa kutumia nguvu nyingi kiasi hiki kutaka urais wa JMT. Lowasa akiwa Rais wa nchi hii hawezi kuwa Rais wa zaidi hata miaka 5 inawezekana hata mwaka mmoja kwake unatosha ila ana lengo lake alilolikusudia( kwa mtazamo wangu na muda niliokaa kufikiria juu ya ukimya wa EL)
ukimya huu wa EL sio wa bure hata kidogo,ametukanwa,amekashifiwameitwa kila aina ya majina,Fisadi,Richmond nk lakini yeye hajawahi kumtukana,kumkejeli mtu,kusema hadharani nk
tutafakari pamoja, sijwahi kuuelewa ukimya wa EL
Pia,huwa nashindwa kumwelewa Lowasa kutumia nguvu nyingi kiasi hiki kutaka urais wa JMT. Lowasa akiwa Rais wa nchi hii hawezi kuwa Rais wa zaidi hata miaka 5 inawezekana hata mwaka mmoja kwake unatosha ila ana lengo lake alilolikusudia( kwa mtazamo wangu na muda niliokaa kufikiria juu ya ukimya wa EL)
ukimya huu wa EL sio wa bure hata kidogo,ametukanwa,amekashifiwameitwa kila aina ya majina,Fisadi,Richmond nk lakini yeye hajawahi kumtukana,kumkejeli mtu,kusema hadharani nk
tutafakari pamoja, sijwahi kuuelewa ukimya wa EL