warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,383
Pamoja na kipaji kikubwa alichonacho Jide bado issue ya kutengana kwake na Gadner kumemrudisha nyuma sana
Gadner was everything ktk mgt ya business za Jide pale Machozi Band
Mafanikio yao yalikuwa yanategemeana.
.Gadner was so doing alot on promoting and advertising Machozi Band ktk vipindi vyake maarufu kama Jahazi Maskani etc
Its so sad wawili hawa wametengana coz ilikuwa one of the beautiful and luvly couple in town
Ndoa ni ndoa nadhani kila mmoja yupo affected na break up ya marriage yao
Jay Dee hana show tena siku hizi kama zamani unajua ukienda Nyumbani Lounge utamkuta
Kiukweli inasikitisha mno
Wangenisikia wangesamehana waendelee na hustle zao za life kama ilivyokuwa
Pamoja na kipaji kikubwa alichonacho Jide bado issue ya kutengana kwake na Gadner kumemrudisha nyuma sana
Gadner was everything ktk mgt ya business za Jide pale Machozi Band
Mafanikio yao yalikuwa yanategemeana.
.Gadner was so doing alot on promoting and advertising Machozi Band ktk vipindi vyake maarufu kama Jahazi Maskani etc
Its so sad wawili hawa wametengana coz ilikuwa one of the beautiful and luvly couple in town
Ndoa ni ndoa nadhani kila mmoja yupo affected na break up ya marriage yao
Jay Dee hana show tena siku hizi kama zamani unajua ukienda Nyumbani Lounge utamkuta
Kiukweli inasikitisha mno
Wangenisikia wangesamehana waendelee na hustle zao za life kama ilivyokuwa
Pamoja na kipaji kikubwa alichonacho Jide bado issue ya kutengana kwake na Gadner kumemrudisha nyuma sana
Gadner was everything ktk mgt ya business za Jide pale Machozi Band
Mafanikio yao yalikuwa yanategemeana.
.Gadner was so doing alot on promoting and advertising Machozi Band ktk vipindi vyake maarufu kama Jahazi Maskani etc
Its so sad wawili hawa wametengana coz ilikuwa one of the beautiful and luvly couple in town
Ndoa ni ndoa nadhani kila mmoja yupo affected na break up ya marriage yao
Jay Dee hana show tena siku hizi kama zamani unajua ukienda Nyumbani Lounge utamkuta
Kiukweli inasikitisha mno
Wangenisikia wangesamehana waendelee na hustle zao za life kama ilivyokuwa
Ukigombana na ruge uwez baki salama....anaziba mianya yote ya entertainments industry....
Vipi mr.2 a.k.a sugu ye amezibiwa nini na ruge
Ukigombana na ruge uwez baki salama....anaziba mianya yote ya entertainments industry....