Ukimya ni usaliti

Hayo Maduka na miundombinu inaweza kurudishwa na kutengenezwa!! Fikiria maisha ya maelfu ya watu waliouliwa kinyama na polisi uhai wao mtaurudisha?
Wezi wengi tu waliuawa na raia wenye hasira Kali,hao wahalifu kuuawa hakuna shida,nilijichanga kidogo dogo miaka nikaanzisha biashara,mmeichoma moto,nilikopa nadaiwa,nani atalipa,nani atalisha familia yangu,nani atanipa mtaji?
 
Hao wote ni wakuweka pamoja kwenye kapu la wanafiki.Hawastahili kupewa heshima wala kusikikilizwa na Mtanzania yoyote mwenye akili timamu.
 
Hao wote ni wakuweka pamoja kwenye kapu la wanafiki.Hawastahili kupewa heshima wala kusikikilizwa na Mtanzania yoyote mwenye akili timamu.
💯%.
 
Hofu imewajaa hakika hizi ni nyakati mbaya sana kwenye taifa letu.
Hofu kwa wauaji ni mbaya sana na inaua kuliko hizo risasi. Angalia hii scenario. Hii ni tukio baya sana tena la kudhamiria na linahitaji hatua zisizo za kawaida. Je, wakitoka maaskofu wote wa Tanzania nzima, wakiongozwa kardinali, wakafanya mkutano, na kulaani yote yaliyotokea, hawa wahuni watathubutu kuwaua wote? Hivyo hivyo kwa viongozi na majaji wote wastaafu na asasi zote.
 
Kilichotokea kinahitaji uthibitisho gani?
Uharibifu wa mali za watu na miundombinu ulifanywa na vijana wavuta bangi hauonekani??
Alaaniwe roma na mange kijambio kwa kuhamasisha hiki kilichotokea
Mali gani wewe chizi? hizo mali ni za watanganyika na wana haki ya kuzifanya chochote wakitakacho.

Unampangia mtu vile aifanye mali yake? Hata akiichoma moto ni sawa tu.
 
..usipoteze muda kuhoji kwa nini fulani hasemi, tafuta jibu la yale usiyopenda kutokea na yametokea, mfano viongozi wa dini, si mara moja wala mbili wametoa tahadhari ya hatari kutokea haya yaliyotokea, hawakusikilizwa..bado unarudi kutaka waseme chochote, kitasaidia nini km maangalizo walitoa na hayakufatwa! wewe tafuta majibu, acha kulalama..!
 
Yaani tuna watu wa ajabu sana nchi hii.
 
Inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…