UKIMWI upo, tambueni thamani yenu

Nilikuwa na demu nimekula peku sana niliambia ana ngoma kila nikipima nasubiri miezi 2 naenda kupima tena leo ndio ya mwisho sipimi tena itakuwa nipo poa
Ha ha haa kupata sio lazima mara 2 ili tosha kuamini.pole sana

Hem tupe mbinu mpaka ukasalimika
 
Ila kuna watu wanajua kujifariji,yaani pamoja na elimu,shuhuda na vitisho bado kuna wanaodai kuwa Ukimwi haupo...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…