kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,817
- 20,801
Ukimwi sio ishu, ishu ni namna ya kuishi baada ya kugundulika na maambukizi ! Watu wanadunda fresh tu kitaa na huwastukii kabisa !
Bado ngono zembe ni hatari sana, ukitoa Ukimwi unaweza kupata magonjwa mengine ya zinaa kama Kisonono, HPV,Kaswende n.k..Anataka nyama kwa nyama, Ukimwi imeharibu Sana Utamu wa Mgegedo
Usilinganishe Ukimwi na vitu vya kijinga, Bro Ukimwi ni hatari mno hakuna kipimoBado ngono zembe ni hatari sana, ukitoa Ukimwi unaweza kupata magonjwa mengine ya zinaa kama Kisonono, HPV,Kaswende n.k..
Hata sana kuuza mechi kwa starehe za dakika kadha tu...
Ndio utwambie kwanini Mmoja vinasoma positive Mwingine NegativeUkimwi upo
Ila VVU ni Imani kama ya mungu mwenye madevu meupe yupo mbinguni
Hiyo anayedunda ujue bado Yuko Fresh infection, Ukimwi unakupa Muda wa miaka 5 hadi 10 tu baada ya hapo hata ufanye nini Utakonda tuUkimwi sio ishu, ishu ni namna ya kuishi baada ya kugundulika na maambukizi ! Watu wanadunda fresh tu kitaa na huwastukii kabisa !
Ndo mana kabla ya yote ukiona zinazidi piga kwanza nyetoNyege ni mbaya sana
Nyeto hapana kuna alternative zingine nyingi tuNdo mana kabla ya yote ukiona zinazidi piga kwanza nyeto
Hiyo anayedunda ujue bado Yuko Fresh infection, Ukimwi unakupa Muda wa miaka 5 hadi 10 tu baada ya hapo hata ufanye nini Utakonda tu
Zitaje wajukuu wajifunze na yule janja wa kahama asirudie makosaNyeto hapana kuna alternative zingine nyingi tu
Tatizo hamu za kufanya mapenzi ziko juu vijana wanashindwa kuhimiliAcheni ngono zembe jamani kwan msipolomba ovyo mtakufa ama
Viral load ikiwa kubwa lazima upungue tu na mkanda wa jeshi unawez kukupata vilevileSahihi, hata miaka 15 unakaa mpaka 20... kukubwa dawa, msosi safi ... epuka maambukixi mapya .... watu wameungua wengi sana na tunaishi nao mtaani, ukiambiwa flani anatumia dawa mpaka unashangaa
-Use condomsZitaje wajukuu wajifunze na yule janja wa kahama asirudie makosa
Ukimwi wengine hawapati kwa ngono zembeAcheni ngono zembe jamani kwan msipolomba ovyo mtakufa ama