UKIMWI upo ARV zitatumaliza

UKIMWI upo ARV zitatumaliza

Ila kama ni mzoefu kwa anaetumia dawa anafahamika kwa urahisi sana kwa sababu ya side effect za ART's, ila kama hujui ndo rahisi kukamatika au kama ndo amepata maambukizi karibuni na bado ajaanza kutumia dawa.
 
Hapo ukiingia nae room ktk bed ukitaka kavu anakujibu sawa ila usikojolee ndani hawakumbush watu matumiz ya kondom hao au kukataa kbsa sex.. Kwel kifo cha wengi ni harusi
 
Ila kama ni mzoefu kwa anaetumia dawa anafahamika kwa urahisi sana kwa sababu ya side effect za ART's, ila kama hujui ndo rahisi kukamatika au kama ndo amepata maambukizi karibuni na bado ajaanza kutumia dawa.
Mkuu huyo anayetumia dawa anafahamika kwa urahisi kwa njia zipi? weka elimu hapa watu wajifunze,utakua umeokoa watu wengi sana.
 
acha kutuingiza chaka aisee hebu fafanua kitaalamu Doc

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kwenye u daktari simo

Ni hivi ARV’s za sikuhizi humaliza kabisa wadudu watembeao kwenye damu kama zitanywewa kila siku katika muda mistakable.

Wadudu wanabaki kwenye cell zilizojificha ambako ARV haifiki. Usipokunywa dawa kwa masaa 72 wanarudi tena kwenye mzunguko wa damu.
 
Back
Top Bottom