UKIMWI upo ARV zitatumaliza

UKIMWI upo ARV zitatumaliza

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,702
Angalia hii series ya huyu mrembo
IMG-20190405-WA0037.jpeg
IMG-20190405-WA0034.jpeg
IMG-20190405-WA0033.jpeg
IMG-20190405-WA0031.jpeg
IMG-20190405-WA0036.jpeg
IMG-20190405-WA0038.jpeg
IMG-20190405-WA0032.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Kasi Ya Maambukizi Ingepungua Kama historia ya chanzo cha kifo cha marehemu ingetajwa kuliko kukwepa usahihi ni kitu gani kimesababisha marehemu afe
 
Zamani waathirika walikuwa wakipata maambukizi walikuwa wakipandisha “makenchi” na kukonda kwa hiyo ilikuwa rahisi mtu kustukiwa na kuogopwa!

Siku hizi hawakondi labda wachache, wengi wanene na wanavitambi kiasi kwamba watu wala hawajijali!

Yani ni mmnh......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom