Kanali mwime
Member
- May 5, 2018
- 71
- 171
Habali zenu wakuu Mimi bado nipo nakomaa na maisha ya huku bondeni japo magumu nayajua mwenyewe, ninachotaka kuwashitua wakuu ni kwamba hapa south watu wana UKIMWI sijawai kuona watu wameathilika Kama miji ya hapa bondeni, nimepima na wanawake 6 ili niwe nao kimapenzi cha ajabu wale 5 wana ngoma yaani wakuu naogopa hata kuchukua mizigo ya huku bola DAR wenye UKIMWI WACHACHE. NIWATAKIE MAISHA MEMA POLENI NA MAJUKUM

