Ukimvua Sudi brown mask unafungwa?

Ukimvua Sudi brown mask unafungwa?

7228ec01a395e9e04b4a15fb8734bdea.jpg

Kuna huyu mwengine ndo nimemwona juzi kwa mara ya kwanza
Duuh! Ndo sura yake ilivyo!!!? Mi leo ndo mara ya kwanza kuiona aisee
 
Lile mask analolivaa sudi brown ukimvua kiutani utani au kikweli kweli unafungwa?
Kwanza napenda kujua sheria ya utangazaji, kama inaruhusu kuvaa maski wakati wa kutangaza?
 
Hivi ina maana watu hawajui anapoishi Sudi au?


Na kama wanajua hawamtembelei?

Na kama wanamtembelea ,muda wote kavaa mask tu?

Na kama kavaa mask ,je hamna hata kapicha chochote alichopiga kabla hajaanza kuvaa hilo li mask?
Picha yake ipo, demu wake aliziweka live insta.
 
Shilawadux2 nawaona mnavotokwa na mapovu kwa Mambo yawatu
 
Na huwa akitembea anakuwa na bodigadi pembeni
 
Back
Top Bottom