Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Naona kitambi kinaninyemelea, nafanya jitihada kuhakikisha kisitokee, hivi ukimuona mtu mwenye kitambi;
1. Unasema mambo yake safi?
2. Unamuonea huruma kwa hali hiyo maana flexibility inakuwa hakuna na matatizo ya afya yanaongezeka?
3. Unatamani umshauri afanye mazoezi kupunguza hali hiyo?
4. Unatamani na wewe ukipate kama huna?
5. Au unawaza nini hasa?
Angalizo; Naomba ieleweke kwamba lengo si kuwakejeli watu wenye vitambi bali kuangalia mitazamo ya watu na namna bora ya kuboresha afya zetu.
1. Unasema mambo yake safi?
2. Unamuonea huruma kwa hali hiyo maana flexibility inakuwa hakuna na matatizo ya afya yanaongezeka?
3. Unatamani umshauri afanye mazoezi kupunguza hali hiyo?
4. Unatamani na wewe ukipate kama huna?
5. Au unawaza nini hasa?
Angalizo; Naomba ieleweke kwamba lengo si kuwakejeli watu wenye vitambi bali kuangalia mitazamo ya watu na namna bora ya kuboresha afya zetu.