Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 126
- 250
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuTafuta pesa mkuu , ukiwa na pesa mkuu siku nyingine utaanza kujiuliza ivi inakuwaje unamtongoza mdada anakukataa
Sawa mkuuTafuta pesa mkuu , ukiwa na pesa mkuu siku nyingine utaanza kujiuliza ivi inakuwaje unamtongoza mdada anakukataa
Huo ushauri .. akavamie mijimama
Exactly mkuu na hiyo ndio principle yangu. Aftaroo wanawake wako wengi saaana mitaani so hakuna haja ya kupambana sehemu ambayo haieleweki.Uko sawa mkuu,,, Maisha hayataki stress zisizo na msingi...
Ukiona demu unayetaka anaonekana hana same vibe piga chini haraka sana.. Japo baadae huwa wanarudi wenyewe
Binafsi mwanamke akinitongoza hua naona huruma sana kumkataa. Hua nawaza jinsi ambavyo amejikakamua, muda ambao ametumia ku plan, jinsi ambavyo ameshafanya "riheso" daaah.. naona bora tu nikubali. 😀😀Kukataa ni haki yetu ya kikatiba, ila sisi kukataliwa ni marufuku.... mwanamke akikutaka halafu ukatae wewe utakua ni adui mkubwa.
... akili za kanda ile hizi! Mfumo dume!Mmmmmmhmn, mwanamke hatakiwi kukataa unapotongozwa. Ukikataa unaleta mikosi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi gari mpya na gari ya zamani ipi raha kutumia kwa amani na afya ya moyo na akili yako?!Mkuu hivi Kuna raha gani kula hivyo vitoto ambavyo hata kitandani havitulii? Tafuta jimama lipigishe kwata uepukane na mkono wa sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo unakuwaje dume na wanawake wapo ndani?! Mfumo dume labda useme ushoga hapo sawa maana hakuna mwanamke anakuwa involved.... akili za kanda ile hizi! Mfumo dume!
Hakika wewe ni mwanaume....😃Binafsi mwanamke akinitongoza hua naona huruma sana kumkataa. Hua nawaza jinsi ambavyo amejikakamua, muda ambao ametumia ku plan, jinsi ambavyo ameshafanya "riheso" daaah.. naona bora tu nikubali. 😀😀
Binafsi mwanamke akinitongoza hua naona huruma sana kumkataa. Hua nawaza jinsi ambavyo amejikakamua, muda ambao ametumia ku plan, jinsi ambavyo ameshafanya "riheso" daaah.. naona bora tu nikubali.
Mzigua, naomba usinikataeKuna mwanaume ukimkataa anaanza kujivictimize. Utasikia au unaniona mimi Sina hela?
Ukikataliwa kubali yaishe
Kuna mmoja nilimwambia Sina K ya mchezo akasema nimemdharau
Hilo jibu ni konki.Kuna mmoja nilimwambia Sina K ya mchezo akasema nimemdharau
Katika hao watano nikifanikiwa kula wawili au hata mmoja nna hasara gani?
Si ndioMmmmmmhmn, mwanamke hatakiwi kukataa unapotongozwa. Ukikataa unaleta mikosi.
Sent using Jamii Forums mobile app