Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 126
- 250
Habari wana JF,
Natumaini mu wazima wa afya , leo ni weekend hope mko poa na wengi wenu ni mapumziko leo.
Moja kwa moja kama uzi hapo juu unavyojieleza . Binafsi kama kijana, nimekutana na case nyingi tu za boyz wenzangu kukataliwa na girls pindi wanapowataka kimahusiano.
But cha kushangaza zaid ni juu ya mitazamo yao kwa hao girls walio wakataa. Mara nyingi hutofautiana sana .mwingine anasema yule dada anaringa , cjui huyu anajiona keki , ukigeuka huku mara cjui kisa sina hela , dressing code zangu mbovu , mwingine cjui nn , yaan kila mtu ana la kwake juu ya kukataliwa . Binafsi nishawah kupitia hali hii ya kukataliwa ktk mahusiano na mtazamo wangu huwa ni tofauti kdg , mm huwa naona kukataliwa ni sehemu ya maisha pia , maana si kila mtu anaweza kukuchagua kama ww ulivyomchagua. So huwa ninakuwa muelewa tu na kupotezea kusumbua binti wa watu . Sasa wengine huku vijuweni malalamiko kibao , matusi kama yote .kisa kukataliza .
Hebu tupe mtazamo wako hapo chini juu ya wadada ambao kwa namna moja au nyingine walikukatalia kuingia ktk mahusiano nao na pengine walikupa sababu . Mtazamo wako juu yao ulikuwaje..?
Uzi nawasilisha
Natumaini mu wazima wa afya , leo ni weekend hope mko poa na wengi wenu ni mapumziko leo.
Moja kwa moja kama uzi hapo juu unavyojieleza . Binafsi kama kijana, nimekutana na case nyingi tu za boyz wenzangu kukataliwa na girls pindi wanapowataka kimahusiano.
But cha kushangaza zaid ni juu ya mitazamo yao kwa hao girls walio wakataa. Mara nyingi hutofautiana sana .mwingine anasema yule dada anaringa , cjui huyu anajiona keki , ukigeuka huku mara cjui kisa sina hela , dressing code zangu mbovu , mwingine cjui nn , yaan kila mtu ana la kwake juu ya kukataliwa . Binafsi nishawah kupitia hali hii ya kukataliwa ktk mahusiano na mtazamo wangu huwa ni tofauti kdg , mm huwa naona kukataliwa ni sehemu ya maisha pia , maana si kila mtu anaweza kukuchagua kama ww ulivyomchagua. So huwa ninakuwa muelewa tu na kupotezea kusumbua binti wa watu . Sasa wengine huku vijuweni malalamiko kibao , matusi kama yote .kisa kukataliza .
Hebu tupe mtazamo wako hapo chini juu ya wadada ambao kwa namna moja au nyingine walikukatalia kuingia ktk mahusiano nao na pengine walikupa sababu . Mtazamo wako juu yao ulikuwaje..?
Uzi nawasilisha