Ukimpata mtu mwenye libido sawa na wewe, umeula

Ukimpata mtu mwenye libido sawa na wewe, umeula

Ile ndo mnaita sex drive....
Kuna watu wanapenda kulana daily...weekend mara3...yaani wako hivyo...sasa akikutana na mtu ambae kimoja cha mkwezi amefunga faili mpaka week ijayo inaleta shidaa
Wengine wanaamua kuchepuka ila sio kwamba wanapenda ila aliyenae sasa..
Nyie achaneni na nyege kabisa kama upewi vizuri na sio kwamba hakupi kwa kua hakupendi ni kwa sababu hamu zake sio kama zako aisee hii ni sababu tosha ya kuchepuka bila kujali jinsia.
Ila mkimatch yaani kila mtu anapenda kiberiti kiberiti moto moto
Hapo mtatatua nusu ya migogoro kama ingetokea asilimia 70 mmeshaitatua kabla haijatokea
Ila mkikutana wote wavivu...wakukinukisha...pia mnasonga fresh
Kimbembe ni kwa hawa watu wawili ambao mmoja anapenda na mara nyingi ni mwanaume ndo anapenda kuliko mwanamke
Sasa ukute katika hii combo mwanamke ndo anapenda viumane afu wewe story nyingi aisee utachapiwa na sio kwamba hakupendi hapna
Wanawake kama hawa unaweza ona ni malaya ila hapana hamalizwi vizuri.(TUKIONDOA SWALA LA UCHUMI)
Ni heri mtu yule apatae wa kuendana nae..kwani dunia itakua tamu kwake.
We libido yako ikoje jidada?
 
Nina hii changamoto, mwenzangu (KE) hamu yake ipo chini sana, ukimpa game leo ujue mpaka wiki 3 au 4 na tena akitaka yeye, ukimuonyesha unataka wewe anakupotezea mazima.

Nina mpango wa kuoa mwengine mswahili mwenzangu tupelekeshane mwanzo mwisbo.
 
Nina hii changamoto, mwenzangu (KE) hamu yake ipo chini sana, ukimpa game leo ujue mpaka wiki 3 au 4 na tena akitaka yeye, ukimuonyesha unataka wewe anakupotezea mazima.

Nina mpango wa kuoa mwengine mswahili mwenzangu tupelekeshane mwanzo mwisbo.
Tafuta Mchepuko ule mema ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta Mchepuko ule mema ya dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilijaribu ila na waste time sana plus unaishi kimitego sana, nataka niweke ndani kabisa. Namkumbuka ex wangu mmoja mtoto wa kizigua nahisi alikua na jini mahaba maana shughuli yake 7 days a week moto juu ya moto.

Alikua na mambo yake uko zako mishe unaskia text ukifungua sasa " uwahi nawashwa uje unit*mbe".
 
Sex maniac hao

Ukipata gals Yuko hivyo Raha sana kwanza Huwa hawajivungi chezo wanaomba wao wenyewe anytime halafu ktk mechi sio wavivu ni mwendo wa sarakasi tu chumbani kama mkufunzi wa Yoga acha kabisa
 
Back
Top Bottom