Ukimpata mtu mwenye libido sawa na wewe, umeula

Ukimpata mtu mwenye libido sawa na wewe, umeula

Nina hii changamoto, mwenzangu (KE) hamu yake ipo chini sana, ukimpa game leo ujue mpaka wiki 3 au 4 na tena akitaka yeye, ukimuonyesha unataka wewe anakupotezea mazima.

Nina mpango wa kuoa mwengine mswahili mwenzangu tupelekeshane mwanzo mwisbo.
Humkuni vzr...ni mwendo wa geuka pah phaa umemaliza.....
Wa hvyo wanaboa sana
 
Mkuu nilijaribu ila na waste time sana plus unaishi kimitego sana, nataka niweke ndani kabisa. Namkumbuka ex wangu mmoja mtoto wa kizigua nahisi alikua na jini mahaba maana shughuli yake 7 days a week moto juu ya moto.

Alikua na mambo yake uko zako mishe unaskia text ukifungua sasa " uwahi nawashwa uje unit*mbe".
Hadi nimemmiss na mi mzigua wangu jmn
Kasafirii🤗
 
Ile ndo mnaita sex drive.

Kuna watu wanapenda kulana daily. Weekend mara 3 yaani wako hivyo. Sasa akikutana na mtu ambae kimoja cha mkwezi amefunga faili mpaka week ijayo inaleta shidaa.

Wengine wanaamua kuchepuka ila sio kwamba wanapenda ila aliyenae sasa. Nyie achaneni na nyege kabisa kama upewi vizuri na sio kwamba hakupi kwa kua hakupendi ni kwa sababu hamu zake sio kama zako aisee hii ni sababu tosha ya kuchepuka bila kujali jinsia.

Ila mkimatch yaani kila mtu anapenda kiberiti kiberiti moto moto. Hapo mtatatua nusu ya migogoro kama ingetokea asilimia 70 mmeshaitatua kabla haijatokea. Ila mkikutana wote wavivu wakukinukisha pia mnasonga fresh. Kimbembe ni kwa hawa watu wawili ambao mmoja anapenda na mara nyingi ni mwanaume ndio anapenda kuliko mwanamke.

Sasa ukute katika hii combo mwanamke ndio anapenda viumane halafu wewe story nyingi aisee utachapiwa na sio kwamba hakupendi hapana. Wanawake kama hawa unaweza ona ni malaya ila hapana hamalizwi vizuri. (TUKIONDOA SWALA LA UCHUMI)

Ni heri mtu yule apatae wa kuendana nae. Kwani dunia itakua tamu kwake.
Ndomana mwafula alitaka kunifanya mchepuko. Mungu akaingilia kati.
 
Ninae mngoni hapa

Huwa tunachuniana hata miezi minne ila text moja tu usiku tupo gesti
Kmmk

Nimecheka sana ,

Wako hivyo sana expecialy wakishajua kuwa hakuna anaye weza kumkuna zaidi Yako , Inaweza kutokea mkachuniana lakini siku genye zikimshika huko lazima akutafute mbio mbio

Mimi Kuna 1 huyo alikuwa ana nidai 400k zake basi ilikuwa ikitokea tukizinguana tunapotezeana mwezi mzima genye zikianza kumsumbua Anajifanya ananipigia simu na kuanza kunidai Pesa zake anashindwa kuwa specific kuwa kamiss kufanya matusi na mie

Basi ataniambia kesho nakuja kufuata Pesa zangu kwakuwa naijua Tabia yake namwambia njoo basi bwana akifika tunakulana tu akishatosheka hata Pesa haziulizii tena anaondoka
 
Nyie hamna tofauti
unataka kunichafua tu mkuu, lini mimi nimeandika uzi wa kuchakata papuchi?

Nyuzi zangu ndo kama hizi, boya fulani..


 
Back
Top Bottom