Ukimpata mke wa aina hii utafanyaje

Ukimpata mke wa aina hii utafanyaje

Kama hili limekushinda kujua kabla hujamuoa jiandae kwa mengine mengi!!kama ulijua na ukavumilia basi jilie nje hivyo vyakula ila usisahau kusukutua shombo + jiandae kwa watoto wako kurithi pia

Cc Kingsmann
 
subiri zamu yako
Mkuu we kiazi kweli kweli inaonekana iseee.....inamaana we unaoa mtu ambaye ndo umekutana naye for the first day??? Nyie ndo wale mnauziwa mbuzi kwenye gunia isee.....huna sifa kwanza za kuitwa baharia mpaka hapa
 
Kama hili limekushinda kujua kabla hujamuoa jiandae kwa mengine mengi!!kama ulijua na ukavumilia basi jilie nje hivyo vyakula ila usisahau kusukutua shombo + jiandae kwa watoto wako kurithi pia

Cc Kingsmann
nile nje double expenses sawa ukila na watoto au mke atakula kipi kizuri na kitamu kama ulichokula
 
mwambie apike mbele yakoo akitapika kweli tupe mrejesho tukupe dawa
 
kuna kuficha huwa wanasema akijua baada ya kukuoa hawezi kukuacha mtavumiliana unasemaje kwa hilo

Vikubwa vyote havifichiki..uchumba unatakiwa uwe zaidi ya miezi 6..huwezi ficha kitu ndani ya miezi 6
 
Itakua ni zile ndoa za "Mtoto wa mzee Kilomoni ameleta posa". Mume unamuona siku ya mahari na harusi.
Mkifika ndani hamjuani. Mnaanza kusomana kwenye ndoa. Wanakuja JF na nyuzi za mliooa mliwezaje
Inawezekana vipi?. Yaani mmeanza date, mmeingia kwenye uhusiano then uchumba finally ndoa kitu kidogo hivyo unashindwa nini kujua?
Unataka kusema kwamba mlikuwa hamtoani out? Hamtembeleani?
Au umeandikaje andikaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom