Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
- Thread starter
- #21
nakuuliza kuoa wapili utaomba ridhaa yake je atakubali kuwa mke wa kwanza? akikataa jeKiafrika unaoa mwingine wanakuwa wawili..
huyo anakuwa kama mke mgonjwa...
nakuuliza kuoa wapili utaomba ridhaa yake je atakubali kuwa mke wa kwanza? akikataa jeKiafrika unaoa mwingine wanakuwa wawili..
huyo anakuwa kama mke mgonjwa...
Nikiamka niende wapiMkuu amka ..toka ndotoni. Utakua unaota.
nakuuliza kuoa wapili utaomba ridhaa yake je atakubali kuwa mke wa kwanza? akikataa je
hili nalo swali pia, kwa hiyo atatafuta wa kumridhisha au maana sijui ni kwa kiasi gani mwanamke anaweza akaamua asiwe kabisa na mwanaume wa kufanya naye mapenzi maisha tofauti na magonjwa kumzuia au pepo wachafuWewe ukiwa husimamishi yeye atakuvumilia? ndugu zake watamshauri akuvumilie?
Aisee huko ni kumkatili unajua inavyouma sana kwake ataona kama dharau vile, ni vema ukamuomba ukamuelimisha ukamuweka huyo mwingine mbali sana labdaUnaomba ridhaa ili iweje..yeye anastukia tu kuna mwenzie
kazikwake...abaki au asepe....
Aisee huko ni kumkatili unajua inavyouma sana kwake ataona kama dharau vile, ni vema ukamuomba ukamuelimisha ukamuweka huyo mwingine mbali sana labda
Hatari sana wapenzi hawajawahi kula pamoja hawa mpaka ndoa.Inawezekana vipi?. Yaani mmeanza date, mmeingia kwenye uhusiano then uchumba finally ndoa kitu kidogo hivyo unashindwa nini kujua?
Unataka kusema kwamba mlikuwa hamtoani out? Hamtembeleani?
Au umeandikaje andikaje?
Wana Jamvi,
Mfao umempata mke umeoa hajawahi kwambia kuwa huwa hali KUKU, MAHARAGE, SAMAKI, DAGAA NA NYANYA CHUNGU. anasema akila anawashwa mwili mzima na kutapika hapo hapo hata harufu ya hivyo akiisikia tu anaanza kusikia kichefuchefu. utafanyaje ukizingatia ndio mmeshafunga ndoa. hii inamaana kuwa hawezi kupika vyakula hivyo akikupikia basi ile harufu tu inamdhuru.
unafanyaje hapo (ulimpeleka hospitali imeshindikana, wamempa dawa za allergy bado tatizo liko palepale).
Inawezekana vipi?. Yaani mmeanza date, mmeingia kwenye uhusiano then uchumba finally ndoa kitu kidogo hivyo unashindwa nini kujua?
Unataka kusema kwamba mlikuwa hamtoani out? Hamtembeleani?
Au umeandikaje andikaje?
Wakila anakula nyama, mboga za majani chips... sasa ndio chaguo lake utafanyajeHatari sana wapenzi hawajawahi kula pamoja hawa mpaka ndoa.
Sababu hujampendea aina ya chakula alacho, basi pambana na hali yako, mpe atakacho...
Au na nye..ge zinamdhuru?
Yeye hawezi mume naye hawezi kufunga na kuomba kutamaliza tatizo etiMpeleke Kanisani akaombewe kabla hujamuacha.
Sali, funga na kuomba mara kwa mara.
wachumba huficha mengi sana, ukioa ajabu unaoa ambaye kikwapa mmoja wenu anacho, harufu kali baada ya tendo, maji bweleleee unafanyaje ni udhaifu piaMuda Wote Wa Uchumba Mlikuwa Mnajipikilisha Makopo?
Hapo kazi ipo ungekua unamnunulia msosi unapeleka kama atakataa.Wakila anakula nyama, mboga za majani chips... sasa ndio chaguo lake utafanyaje
MASHARTI YA MGANGA kijana kayakosea mwenyewe
Kama umeoa hujawahi kutana na changamoto, kama hujaoa pole kaza buti na hili fundisho kwako utamchunguza mwanamke na akijificha utakayo yakuta utakumbuka ulichowahi kukisoma humu utaelewa tuMtoa mada anahisi humu wamejaa watoto I see