Ukimkopesha Pesa Mwanamke ujue umeliwa

Ukimkopesha Pesa Mwanamke ujue umeliwa

Mie hukopesha vifaa vya electronics km tablet, laptops,printers etc. Walipaji wazuri na kwa wakati ni wanawake.Labda nyie huwa mnawakopesha huku mnawatongoza!


Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote, ushauri huu unakuja baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwa wanawake wana wazurum sana wanaume kwenye masuala ya pesa.

Hapa sizungumzii wapenzi kwani najua wazi kuwa wapenzi hupeana tu japo wapo wapenzi wachache sana ambao hukopana pesa.

Ndugu yangu, akija kwako mwanamke awe rafiki sana, awe jirani yako tu, mwanafunzi mwenzako, hata mfanyakazi mwenzako akisema nikopeshe pesa ''USIMPE''

Wanawake wengi hupenda kukopa kwa wanaume kwakuwa wanafahamu fika, wanaume huwa wanaona aibu sana kuwadai wanawake na hata kama utamdai basi ni mara moja kwa mwezi hivyo ni sawa na kumdai mara kumi na mbili kwa mwaka.

Fikiria,
mwanaume mwenzio tu tena rafiki yangu anavyokusumbua kulipa pesa, leo hii umkope mwanamke, kweli?

Ukikutana na mwanamke mwenye huruma hela yako hakupi ng'oooo atakachokusaidia ni kukupa PAPUCHI tu hata kama unamdai milioni nne. Ukikutana na mwenye roho mbaya, pesa yako hupewi na papuchi hupewi vile vile.

MSIJE SEMA SIKUSEMA, MTAKUJA KULIA HAPA jf NA MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote, ushauri huu unakuja baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwa wanawake wana wazurum sana wanaume kwenye masuala ya pesa.

Hapa sizungumzii wapenzi kwani najua wazi kuwa wapenzi hupeana tu japo wapo wapenzi wachache sana ambao hukopana pesa.

Ndugu yangu, akija kwako mwanamke awe rafiki sana, awe jirani yako tu, mwanafunzi mwenzako, hata mfanyakazi mwenzako akisema nikopeshe pesa ''USIMPE''

Wanawake wengi hupenda kukopa kwa wanaume kwakuwa wanafahamu fika, wanaume huwa wanaona aibu sana kuwadai wanawake na hata kama utamdai basi ni mara moja kwa mwezi hivyo ni sawa na kumdai mara kumi na mbili kwa mwaka.

Fikiria,
mwanaume mwenzio tu tena rafiki yangu anavyokusumbua kulipa pesa, leo hii umkope mwanamke, kweli?

Ukikutana na mwanamke mwenye huruma hela yako hakupi ng'oooo atakachokusaidia ni kukupa PAPUCHI tu hata kama unamdai milioni nne. Ukikutana na mwenye roho mbaya, pesa yako hupewi na papuchi hupewi vile vile.

MSIJE SEMA SIKUSEMA, MTAKUJA KULIA HAPA jf NA MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

Mkuu hizi ID vipi?
 
Last edited by a moderator:
Kuna demu nilimkopesha 2m toka mwezimwa tisa mwaka jana yaani ananizungusha sijawahi kuona...
 
Its two way way jamani...mim kuna me mmoja 1M toka july mwaka jana na leo.
Hata sim hapokei tena
 
kwa mimi binafsi wote siwadai. Iwe mwanamke au mwanaume wote siwadai nikiwakopesha.
 
Jinsia mbili tofauti. Lazima mmoja atamuelemea mwenzake na kulipwa kusiwepo.
 
Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote, ushauri huu unakuja baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwa wanawake wana tapeli sana wanaume kwenye masuala ya pesa.

Hapa sizungumzii wapenzi kwani najua wazi kuwa wapenzi hupeana tu japo wapo wapenzi wachache sana ambao hukopana pesa.

Ndugu yangu, akija kwako mwanamke awe rafiki sana, awe jirani yako tu, mwanafunzi mwenzako, hata mfanyakazi mwenzako akisema nikopeshe pesa ''USIMPE''

Wanawake wengi hupenda kukopa kwa wanaume kwakuwa wanafahamu fika, wanaume huwa wanaona aibu sana kuwadai wanawake na hata kama utamdai basi ni mara moja kwa mwezi hivyo ni sawa na kumdai mara kumi na mbili kwa mwaka.

Fikiria,
mwanaume mwenzio tu tena rafiki yako anavyokusumbua kulipa pesa, leo hii umkope mwanamke, kweli?

Ukikutana na mwanamke mwenye huruma hela yako hakupi ng'oooo atakachokusaidia ni kukupa PAPUCHI tu hata kama unamdai milioni nne. Ukikutana na mwenye roho mbaya, pesa yako hupewi na papuchi hupewi vile vile.

MSIJE SEMA SIKUSEMA, MTAKUJA KULIA HAPA jf NA MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

we nawe inabidi ujichunguze!..,haiwezekani mwaka wa 3 uko humu halafu eti umetoa LIKE 1 tu!.....kwamba huzielewi nondo zote zinazoshushwa humu na full ucheshi?!!
Lazima kuna kitu hakiko sawa mahali!
 
Last edited by a moderator:
we nawe inabidi ujichunguze!..,haiwezekani mwaka wa 3 uko humu halafu eti umetoa LIKE 1 tu!.....kwamba huzielewi nondo zote zinazoshushwa humu na full ucheshi?!!
Lazima kuna kitu hakiko sawa mahali!
kwa mfano hicho ulichoandika unadhani nitatoa like?
 
Mimi namkopesha, namtafuna na hela anarudisha vizuri sana. Mwanamke ukimchekea hakulipi deni lako. Vaa sura ya mbuzi kwenye kudai.

Hela anakopeshwa, anatafunwa kisha analipa bila shida.
 
Kweli wanawake wengi hawaheshimu kulipa mikopo wanayooombaga na huu siyo ustaarabu
 
Kuna dem fulani ofisi jirani niliingiza cd ikaanza kusoma,eeeeh! Akaniambia niazime kilo ntakurudishia end of month.
Alitaka nikimpa mkwanja ndo aseme apointment lini,nikatafakariiiiiiiii
,nikaona nikimpa akininyima shimo lisilojaa ntamdai vipi?
Akinipa ndiio kaniuzia kwa laki.
Nikaona bora nikae kando tu.
Sasa akiniona anabaki kusema weweee mbona kimyaaa?
Mwanamke na hela?

Ha ha ha ha ha ha ha,utaniua mkuu kwa kicheko!
 
Inategemea Mna Uhusiano Gani. Mm Na Dadaangu Ni Good Kopeshanaring Partners. Na Amna Ambaye Anamzungusha Mwenzake.
 
Back
Top Bottom