Ukimkopesha Pesa Mwanamke ujue umeliwa

Ukimkopesha Pesa Mwanamke ujue umeliwa

mwanaume mwezangu nipo radhi ata nimpe tuu na sio kukopesha. ila mwanamke leta papuchi ndio upate hela na sitakudai
 
Huu uchunguzi huru au uchafuzi huru? Unataka tusikopeshwe? We kama hutaki kaa na mahela yako bwana wengine waendelee kutukopesha
 
Ok mwache yeye amkopeshe wengine tutabeba jukumu la kumpa pocket money demu wake. Naona umechangia bila kujielewa.

Nimechangia bila kujielewa kivipi? Inategemea anataka hela kiasi gani....pocket money sawa lakini anaweza akahitaji pesa kiasi kikubwa kwaajili ya jambo kubwa kwa nini usimkopeshe?
 
Si kweli bana wanawake tuna aibu ya kulipa hatupendi masimango,ukikuta hujalipwa deni lako jua kuna kitu si kizur ulimfanyia huyo mwanamke naye ndo kaamua kujilipa kwa hivyo.
 
umenikumbusha wkt nipo chuo kuna dem nilikua namfukuzia akawa ananinyima papuchi xaxa akatumia kigezo hicho kunikopa 50000 nikampa baada ya hapo ili kulipa dem akakubali nikamtumia ipasavyo nikala papuchi mpaka ikanikinai nilipotaka kumuacha na yy nikamkopa 100000 ...so nikawa nimekula papuchi na faida ya elfu 50000
 
hilo ni kweli, lkn mara nyingine kwa usumbufu wao ama kuona wewe umemnyima hali ya kuw a uwezo unao, dawa ni kumpa nusu ya ile aliyokukopa hapo umepunguza lawama toka kwake na pia huyo kama ana tabia ya kukopa na harudishi ndio umemfukuza kabisa aibu inabaki kwake.
Huu ni ushauri wangu kwa wanaume wote, ushauri huu unakuja baada ya kufanya uchunguzi na kubaini kuwa wanawake wana wazurum sana wanaume kwenye masuala ya pesa.

Hapa sizungumzii wapenzi kwani najua wazi kuwa wapenzi hupeana tu japo wapo wapenzi wachache sana ambao hukopana pesa.

Ndugu yangu, akija kwako mwanamke awe rafiki sana, awe jirani yako tu, mwanafunzi mwenzako, hata mfanyakazi mwenzako akisema nikopeshe pesa ''USIMPE''

Wanawake wengi hupenda kukopa kwa wanaume kwakuwa wanafahamu fika, wanaume huwa wanaona aibu sana kuwadai wanawake na hata kama utamdai basi ni mara moja kwa mwezi hivyo ni sawa na kumdai mara kumi na mbili kwa mwaka.

Fikiria,
mwanaume mwenzio tu tena rafiki yangu anavyokusumbua kulipa pesa, leo hii umkope mwanamke, kweli?

Ukikutana na mwanamke mwenye huruma hela yako hakupi ng'oooo atakachokusaidia ni kukupa PAPUCHI tu hata kama unamdai milioni nne. Ukikutana na mwenye roho mbaya, pesa yako hupewi na papuchi hupewi vile vile.

MSIJE SEMA SIKUSEMA, MTAKUJA KULIA HAPA jf NA MTAYAKUMBUKA MANENO YANGU.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Si kweli bana wanawake tuna aibu ya kulipa hatupendi masimango,ukikuta hujalipwa deni lako jua kuna kitu si kizur ulimfanyia huyo mwanamke naye ndo kaamua kujilipa kwa hivyo.

Mwanamke hakopeshwi. Anapewa.
 
Nimechangia bila kujielewa kivipi? Inategemea anataka hela kiasi gani....pocket money sawa lakini anaweza akahitaji pesa kiasi kikubwa kwaajili ya jambo kubwa kwa nini usimkopeshe?

Akakope bank.

M8 simkopeshi mwanamke pesa. Nampa.
 
Heri hata ingekuwa binti binti under 25, mimi imenikuta kwa mama mtu mzima na miaka yake zaidi ya 40! Kakopa buku 20 mpaka leo naisikilizia kwenye ndoto tu!
 
Wanawake wengi ni walipaji wazuri pindi ukiwakopesha...
 
Back
Top Bottom