Kweli muwe mnatushirikisha jamani
Sio kila mmoja anakaa na mwenzie kimachale kwamba anytime kitabumburuka
Hapo hata uhusiano haunogi wala hakuna bond
๐๐๐๐๐๐๐๐ moment of silence kwa vilazer woteNi kweli ila kumpata mwanamke wa hivyo ni mbinde sana mkuu, shukuru Mungu we umepata huyo hata ukimshirikisha anakupa ushirikiano.
Wengine ukiwaambi ivo, utaskia we ndo ndo mwanaume sasa unaniluza mi ishu za ujenzi ntajuaje na hapo tayari dharau zitaanza ataanza kukuona we kilaza sasa unaacha kuamua maamuzi kiume yani mpaka umpelekee yeye mshauriane, kumbuka sometimes hawa watu wanapenda kipelekeshwa hata bila sababu.
Ndio 15 now
Kama hunauvumilivu unampa kipigo ya mbwa koko
Kwa 7bu hukuzungumza na mkeo,mngezungumza kama alivoshauri mtoa mada asingeweza kununua simu wakati pesa ina jukumu la msingiAbsolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.
๐๐๐ Acha kabisa mkuu ni changamoto sana.๐๐๐๐๐๐๐๐ moment of silence kwa vilazer wote
Kumbe ile miaka 25 ya kuchokwa na kutamaniwa uondoke mapema bado we subiri tu kijana mmoja amalize chuo apate kazi ndo utawajuaNdio 15 now
Ndo maana twawala haswa wake zenu kwa hizi akili.Acha upuuzi ......wewe kama mwanaume jijenge wewe na maisha yako na watoto wako hao wanawake watakuyummisha na kukufelisha muda wao ukifika so fanya yako maliza kabisa ndio hao wanawake waje wenyewe na muda wao wa kuondoka ukifika wapanggse matako yao vumbi na kubeba mafurushi yao ya nywele bandia na kusepa. sasa wewe endelea kuishi gerezani kwa jina la mapenzi.
inaonekana wife wako bonge moja la wife materialNdio
Unaweza mshirikisha na bado asitembee katika vision yako ndo hayo yaliyonikuta nilimshirikisha na anajua nia ya kujenga fensi ni niniNdiyo maana mleta mada amesema suala la KUSHIRIKISHANA, wewe ulikuw ana mipango yako peke yako ukadhani ataisoma akili yako kujua kwmba hela hiyo ni ya kujengea??? Ungemshirikisha akajua kuwa kuna tukio ambalo linahitaji pesa hakika asingenunua sufuria, hata hivyo kwa kununua sufuria hakuwa amefanya jambo baya kama mwanamke anatakiw akuwa na vifaa hivyo maana kuna masuala ya sherehe na misiba (hatuombei) kadhalika yatawahitaji muwe na hivyo ivtu
Absolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.
Muanzisha mada una ndoa?!
niliyem quote kasema pamoja na kumshirikisha inategemea kama interest zinaendana pamoja na vision
Mkuu, mlimshirikisha mpango wa Kujenga hiyo Fence. Kwa sababu Mleta mada kasema tuwashirikishe.