Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 62,522
- 108,073
Haufikii yangu asee šUpo sahihi kabisa na ulichoandika hata mimi nafanya hivyo hivyo ndiyo maana nina ndoa bora duniani mpaka mbinguni.
Watu wengi wanapenda kujifunza kupitia ndoa yetu....wanaonizunguka.
Hadi huwa najiuliza mbona nimependelewa sana. Mungu azidi kumuweka sana huyu mwanaume, ambariki kwa kila namna