Uko wapi mkuu mbona wapo wengi tena wengine hadi 25 hukoKupata silled ni adimu mpaka ukiipata unazuzuka, sikulaumu mdau.. cha msingi mheshimishe huyo bint kama alivokuheshimu kukupa hiyo zawadi, hongera zake 20 yrs hajaguswa?? Muoe mke wa pili chap mwamba.
Tunaongelea ya mbele au sio nisije kua nakurupuka hapa, wako wengi?? Wapi huko? MaweeeeeUko wapi mkuu mbona wapo wengi tena wengine hadi 25 huko
Kupata silled ni adimu mpaka ukiipata unazuzuka, sikulaumu mdau.. cha msingi mheshimishe huyo bint kama alivokuheshimu kukupa hiyo zawadi, hongera zake 20 yrs hajaguswa?? Muoe mke wa pili chap mwamba.
nani anaoa mke bikra wengi tunakuta used labda kwenye nchi za kiislamu zenye maadili, mimi mkristo mke wa pili hapana ila mchepuko sawa.Mkuu kwa hiyo unataka kuchepuka na bikra alafu inamaana mkeo hukumkuta Bikra umeoa mke wa mtu mkuu ila nisamehe[emoji23][emoji2] la mwisho tosheka na mkeo kama dini aikuruhusu ningekuwa mm ningeongeza mke wa pili.
Mke wako ulipomuoa alikua bikra ?Sijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati unless ubadirike uwe kauzu.
Mwaka jana january tulipata house girl hatukuwahi kuwa na mpango wa binti familia yetu ndogo na wife yupo home tu ila sababu mama mkwe aliomba tukae naye kwakuwa mtu aliyemtafutia huyo binti hakutaka binti wa kiislamu tukaona sawa tu kwakuwa march nilikuwa na safari ya miezi miwili niliona ampe kampani wife. kabinti kalipokuja kazuri keupe na ushungi muda wote katika maongezi alidai anataka kaa hadi mwezi wa tisa anatafuta ada ajiunge CBE dodoma.
Shida imekuja roho ya kukapenda haka kabinti ikanijia siku moja nikakatongoza hapo iilikuwa mwezi wa 6 tarehe za katikati niliongea naye vizuri akasema nisubiri amalize certificate, pili yeye bikra anajitunza kwa ajiri ya mume wake, tatu nijitambulishe kwao kwanza ndio atanikubalia. kitendo cha yeye kusema bikra ni kama alinichochea moto nimuombe hiyo zawadi adhimu ambayo sijawahi ipata. mwisho akaomba nimpe muda mwezi mmoja atanipa jibu ambayo ni july.
July imefika siku moja tuko sebuleni mimi yeye na wife ghafla akaanza kulia anataka rudi kwao, wife kumuuliza sababu hasemi nikaona akiendelea mbembeleza aseme sababu nitaumbuka, nikamuita wife chemba nikamwambia huyu binti hatukuwa na mpango wa kukaa naye na kwasasa hatumuhitaji bora tumruhusu tu aondoke wife kakubali tukampa nauli na mshahara japo kuwa mwezi haukuisha akasepa.
Toka amerudi kwao miezi miwili imepita sikumtafuta mpaka siku moja ananitafuta yeye kuwa kashaanza chuo nikampa hongera akasema alifikiria jambo langu lakini yeye anamuogopa dada (wife) pia mimi nisipomuoa yeye akija olewa bila bikra atadharaurika nikampa elimu akanielewa january likizo akasema atakuja kunipa zawadi ila anaomba nimsaidie kwenye masomo yake na nisije mtupa nikaona ombi rahisi sana na kwakweli nilimsaidia na zawadi yake alinipa.
Najua sababu ya kuondoka ni mimi kumtongoza na ningeendelea kumbebembeleza ningemkosa kabisa hata huko uliko.
ChaiSijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati unless ubadirike uwe kauzu.
Mwaka jana January tulipata house girl hatukuwahi kuwa na mpango wa binti familia yetu ndogo na wife yupo home tu ila sababu mama mkwe aliomba tukae naye kwakuwa mtu aliyemtafutia huyo binti hakutaka binti wa kiislamu tukaona sawa tu kwakuwa march nilikuwa na safari ya miezi miwili niliona ampe kampani wife. kabinti kalipokuja kazuri keupe na ushungi muda wote katika maongezi alidai anataka kaa hadi mwezi wa tisa anatafuta ada ajiunge CBE Dodoma.
Shida imekuja roho ya kukapenda haka kabinti ikanijia siku moja nikakatongoza hapo iilikuwa mwezi wa 6 tarehe za katikati niliongea naye vizuri akasema nisubiri amalize certificate, pili yeye bikra anajitunza kwa ajiri ya mume wake, tatu nijitambulishe kwao kwanza ndio atanikubalia. kitendo cha yeye kusema bikra ni kama alinichochea moto nimuombe hiyo zawadi adhimu ambayo sijawahi ipata. mwisho akaomba nimpe muda mwezi mmoja atanipa jibu ambayo ni July.
July imefika siku moja tuko sebuleni mimi yeye na wife ghafla akaanza kulia anataka rudi kwao, wife kumuuliza sababu hasemi nikaona akiendelea mbembeleza aseme sababu nitaumbuka, nikamuita wife chemba nikamwambia huyu binti hatukuwa na mpango wa kukaa naye na kwasasa hatumuhitaji bora tumruhusu tu aondoke wife kakubali tukampa nauli na mshahara japo kuwa mwezi haukuisha akasepa.
Toka amerudi kwao miezi miwili imepita sikumtafuta mpaka siku moja ananitafuta yeye kuwa kashaanza chuo nikampa hongera akasema alifikiria jambo langu lakini yeye anamuogopa dada (wife) pia mimi nisipomuoa yeye akija olewa bila bikra atadharaurika nikampa elimu akanielewa january likizo akasema atakuja kunipa zawadi ila anaomba nimsaidie kwenye masomo yake na nisije mtupa nikaona ombi rahisi sana na kwakweli nilimsaidia na zawadi yake alinipa.
Najua sababu ya kuondoka ni mimi kumtongoza na ningeendelea kumbebembeleza ningemkosa kabisa hata huko uliko.
Hahshahaha dah
Haya Hilo nalo mkalitizameSijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati unless ubadirike uwe kauzu.
Mwaka jana January tulipata house girl hatukuwahi kuwa na mpango wa binti familia yetu ndogo na wife yupo home tu ila sababu mama mkwe aliomba tukae naye kwakuwa mtu aliyemtafutia huyo binti hakutaka binti wa kiislamu tukaona sawa tu kwakuwa march nilikuwa na safari ya miezi miwili niliona ampe kampani wife. kabinti kalipokuja kazuri keupe na ushungi muda wote katika maongezi alidai anataka kaa hadi mwezi wa tisa anatafuta ada ajiunge CBE Dodoma.
Shida imekuja roho ya kukapenda haka kabinti ikanijia siku moja nikakatongoza hapo iilikuwa mwezi wa 6 tarehe za katikati niliongea naye vizuri akasema nisubiri amalize certificate, pili yeye bikra anajitunza kwa ajiri ya mume wake, tatu nijitambulishe kwao kwanza ndio atanikubalia. kitendo cha yeye kusema bikra ni kama alinichochea moto nimuombe hiyo zawadi adhimu ambayo sijawahi ipata. mwisho akaomba nimpe muda mwezi mmoja atanipa jibu ambayo ni July.
July imefika siku moja tuko sebuleni mimi yeye na wife ghafla akaanza kulia anataka rudi kwao, wife kumuuliza sababu hasemi nikaona akiendelea mbembeleza aseme sababu nitaumbuka, nikamuita wife chemba nikamwambia huyu binti hatukuwa na mpango wa kukaa naye na kwasasa hatumuhitaji bora tumruhusu tu aondoke wife kakubali tukampa nauli na mshahara japo kuwa mwezi haukuisha akasepa.
Toka amerudi kwao miezi miwili imepita sikumtafuta mpaka siku moja ananitafuta yeye kuwa kashaanza chuo nikampa hongera akasema alifikiria jambo langu lakini yeye anamuogopa dada (wife) pia mimi nisipomuoa yeye akija olewa bila bikra atadharaurika nikampa elimu akanielewa january likizo akasema atakuja kunipa zawadi ila anaomba nimsaidie kwenye masomo yake na nisije mtupa nikaona ombi rahisi sana na kwakweli nilimsaidia na zawadi yake alinipa.
Najua sababu ya kuondoka ni mimi kumtongoza na ningeendelea kumbebembeleza ningemkosa kabisa hata huko uliko.
Sijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati unless ubadirike uwe kauzu.
Mwaka jana January tulipata house girl hatukuwahi kuwa na mpango wa binti familia yetu ndogo na wife yupo home tu ila sababu mama mkwe aliomba tukae naye kwakuwa mtu aliyemtafutia huyo binti hakutaka binti wa kiislamu tukaona sawa tu kwakuwa march nilikuwa na safari ya miezi miwili niliona ampe kampani wife. kabinti kalipokuja kazuri keupe na ushungi muda wote katika maongezi alidai anataka kaa hadi mwezi wa tisa anatafuta ada ajiunge CBE Dodoma.
Shida imekuja roho ya kukapenda haka kabinti ikanijia siku moja nikakatongoza hapo iilikuwa mwezi wa 6 tarehe za katikati niliongea naye vizuri akasema nisubiri amalize certificate, pili yeye bikra anajitunza kwa ajiri ya mume wake, tatu nijitambulishe kwao kwanza ndio atanikubalia. kitendo cha yeye kusema bikra ni kama alinichochea moto nimuombe hiyo zawadi adhimu ambayo sijawahi ipata. mwisho akaomba nimpe muda mwezi mmoja atanipa jibu ambayo ni July.
July imefika siku moja tuko sebuleni mimi yeye na wife ghafla akaanza kulia anataka rudi kwao, wife kumuuliza sababu hasemi nikaona akiendelea mbembeleza aseme sababu nitaumbuka, nikamuita wife chemba nikamwambia huyu binti hatukuwa na mpango wa kukaa naye na kwasasa hatumuhitaji bora tumruhusu tu aondoke wife kakubali tukampa nauli na mshahara japo kuwa mwezi haukuisha akasepa.
Toka amerudi kwao miezi miwili imepita sikumtafuta mpaka siku moja ananitafuta yeye kuwa kashaanza chuo nikampa hongera akasema alifikiria jambo langu lakini yeye anamuogopa dada (wife) pia mimi nisipomuoa yeye akija olewa bila bikra atadharaurika nikampa elimu akanielewa january likizo akasema atakuja kunipa zawadi ila anaomba nimsaidie kwenye masomo yake na nisije mtupa nikaona ombi rahisi sana na kwakweli nilimsaidia na zawadi yake alinipa.
Najua sababu ya kuondoka ni mimi kumtongoza na ningeendelea kumbebembeleza ningemkosa kabisa hata huko uliko.
Kuna Ukweli fulani hapo japo sina hakika km Wanawake wote wanafanana.NI UKWELI WANAWAKE UKIWAONYESHA UNAWAJALI SANA NA KUWAPENDA GOODNIGHT , GOOD MORNING,GOOD AFTERNOON WANAKUONA MJINGA WAJANJA WASHAAWACHA SINGLE MOTHERS MTAANI
THEY ARE THE SAME MWANAMKE USIMJALI SANA SEE HER LIKE A NORMAL THING THEY ARE JUST THE SAME AND IT'S A NATURALLY BEHAVIORKuna Ukweli fulani hapo japo sina hakika km Wanawake wote wanafanana.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app