driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 240
madereva wawili walikua wanaendesha magari kuelekea kwenye daraja ambalo ni gari moja tu lina uwezo wa kupita...! walikua wanaenda kwenye opposite direction yani huyu anaenda kule na mwingine anakuja....! sasa kwa ubabe wote wakaingia kwenye daraja kila mmoja akijiamini kua yeye ni mbabe zaidi ya mwenzie..! walipofika kati kati ya daraja wakawa wamekaribiana sana mmoja akazima gari kuonyesha ubabe zaidi ya mwenzake..! basi na huyu nae akazima gari..! mmoja akatoa gazeti na kuanza kusoma kuonyesha kua wala hana haraka...! basi yule mwingine akamwambia huyu alie toa gazeti...."ukimaliza kusoma nipe na mimi......!"